M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,095
Natamani nione hiyo simu yako nokia ya tochi[emoji23][emoji23]mtuandikie na taarifa wengine simu zetu hazina uwezo wa kukuza hizo screenshots sijui
Sent from my Nokia-Ya-Tochi using JamiiForums mobile app
Binti unataka kusisimuliwa ???Mkuu mbona hii sio habari ya kusisimua au wewe ni msukule wa Madale?!
Kila ukichungulia kibakuli kapitwa hadi na kina Rayvanny na Harmonize kisha wenyewe munamuita "king" hadi ukaamua kudai kusisimuliwa si mchezo.Mkuu mbona hii sio habari ya kusisimua au wewe ni msukule wa Madale?!
hahaha ungekuwa binti ningekuambia njoo uione pmNatamani nione hiyo simu yako nokia ya tochi[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Sawa Zari nimekusikiaKila ukichungulia kibakuli kapitwa hadi na kina Rayvanny na Harmonize kisha wenyewe munamuita "king" hadi ukaamua kudai kusisimuliwa si mchezo.