Leo kwenye account ya Wasafi.com wameweka kwamba diamond platinum ndo anaongoza kuwa na subscriber wengi 600,177 kwa tanzania akifatiwa na Milladyayo na Global Tv hizi ni kwa mujibu wa Youtube kwa Channel zilizoweka Subscriber wake Public lakini yupo BongoStars ambaye subscriber wake aliwaweka Private na leo nazani ameamua kuwawrka Public.
Bongostars ana subscriber zaidi ya Million1 na jambo ambalo ckulifahamu kirahisi mpaka pale nilipokuja kushuhudia Leo.
But me mwenyewe nilikuwa najua Diamond Platinum from Wasafi.com ndo anayeongoza lakini kwa nilichoshuhudia leo ni hatari Youtube.
Home - mapacha24
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongostars ana subscriber zaidi ya Million1 na jambo ambalo ckulifahamu kirahisi mpaka pale nilipokuja kushuhudia Leo.
But me mwenyewe nilikuwa najua Diamond Platinum from Wasafi.com ndo anayeongoza lakini kwa nilichoshuhudia leo ni hatari Youtube.
Home - mapacha24
Sent using Jamii Forums mobile app