Diamond apata dili na Gareth Bale wa Real Madrid

kedrick

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
5,080
Reaction score
4,914
Hifadhi ya taifa Diamond platinumz amepewa shavu kuwepo katika kampeni ya The Global Goals ambayo inahusikana na vita ya kutokomeza umasikini, njaa, maradhi na matatizo mengine katika bara la Africa na miongoni wa washiriki wa hii kampeni ni mchezaji Gareth Bale wa Real Madrid.

Na hivi tunavyozungumza hifadhi ya taifa letu Diamond yupo South Africa kurekodi wimbo maalumu kwa ajili ya hii kampeni uitwao Tell every one na ataimba na kundi la mafikizolo toka South Africa.
 
Aaaah me simpendi siku hizi nanishafuta nyimbo zake zote kwenye memo yangu baada ya kuona anawasupport majiz maccm
Hiv angekuwa ukawa je??mashabiki wake walio ccm nao je wangefanyaje??wanikumbusha kipindi kile cuf na ccm kwetu pemba! Ndugu zangu walikuwa hawasemeshani kisa wapo vyama tofaut!! Ila baada ya seif kuingia madarakan kuwa makamu wa rais wakaona ujnga tu hizi siasa!!sa hiv wanapatana utadhan hawakuwahi kugombana
 
sasa bale kiba yupo na beckam na mtoto wa malikia wa uingereza kwenye wildaid ambassador
 
kedrick huna jipya et bale si ni sawa na tambwe tu huyo sisi tupo na beckam na mastaa kibao
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1440167172166.jpg
    134.6 KB · Views: 368
Last edited by a moderator:

ungejua ungenyamaza tu ndugu yanguu...maana unaodhan utawaumiza ndugu yao yupo na Beckham,Yao Ming,Jackie Chan,Mtoto wa Malkia wa Uingereza,Hasheem Thabeet...Dah....ungejua ungetulia tu
 
umesahau mkuu...pia jackie chan,Yao ming na hasheem thabit....wajifunze kunyamaza shenz zao..

Kazi ya kulinda tembo c mchezo kushinda bungani duuh lazima akili zichezee unadhani ni raisi kulea tembo yatima
 
ungejua ungenyamaza tu ndugu yanguu...maana unaodhan utawaumiza ndugu yao yupo na Beckham,Yao Ming,Jackie Chan,Mtoto wa Malkia wa Uingereza,Hasheem Thabeet...Dah....ungejua ungetulia tu

Naona sindano 💉💉💉Ina kuingia tulua ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…