Diamond asema Zari atajifungua mwezi Disemba

Babu wa Kambo

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
559
Reaction score
808

Mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa mtoto wa pili kutoka kwa mpenzi wake Zari.

Muimbaji huyo amesema yeye na mpenzi wake Zari wanategemea mtoto wa kiume.
“Yah kweli mimi ni baba kijacho,” Diamond alikiambia kipindi cha Leo Tena “Natarajia Mama Tiffa anipatie tena mtoto mwingine, atakuwa wa kiume,”

Aliongeza, “Na itakuwa mwezi Disemba mwaka huu! Baada ya hapo sitaongeza tena mtoto mwingine, ni muda wa kula bata sasa ndio unafata na watoto wetu wawili”
Diamond na Zari tayari wana mtoto mmoja wa kike, ‘Tiffa’ ambaye hivi karibuni atatimiza mwaka mmoja.
 
Watoto ni baraka kutoka kwa Mungu, kama una uwezo wa kuwatunza na mama hana tatizo la kubeba mimba na yuko tayari kubeba mimba nyingine at least mbili au hata tatu basi hakuna ubaya wa kuongeza wengine wawili/watatu.

Hongera,
hata hivyo asiishie hao wawili, aendelee kuzaa ilimradi
kapata mwanamke mwenye uzazi;
Mwanaume anahesabiwa watoto siyo pesa;
 
Wajinga ndio waliwao.......
 
Zari kiboko Tee hata mwaka bado....hii ndo maana kamili ya bandika bandua
 
Watoto ni baraka kutoka kwa Mungu, kama una uwezo wa kuwatunza na mama hana tatizo la kubeba mimba na yuko tayari kubeba mimba nyingine at least mbili au hata tatu basi hakuna ubaya wa kuongeza wengine wawili/watatu.
Kabisa mkuu
 
Mi sitii neno ....... zaa tu kwa raha zako after all una financial support ya mumeo wa ndoa
 
Mtoto wa Tandale kaumia hapa kwa li shankupe la kiganda kajiingiza kwenye domo la mamba yeye anajiona anakomoa, kumbe anajikomoa mwenyewe faida atakuja iona hapo mbeleni !! Kaingia choo cha kike,Time will tell.
Agiza soda hapo kwa mangi niletee risiti bili kwangu Mauza uza
 
Mtoto wa Tandale kaumia hapa kwa li shankupe la kiganda kajiingiza kwenye domo la mamba yeye anajiona anakomoa, kumbe anajikomoa mwenyewe faida atakuja iona hapo mbeleni !! Kaingia choo cha kike,Time will tell.
Jinyongeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…