Diamond Ashikwa Makalio Jukwaani Mombasa!

Diamond Ashikwa Makalio Jukwaani Mombasa!

Hashpower7113

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,353
Reaction score
2,142
Diamond Platnumz, ameshikwa makalio na mashabiki akiwa jukwaani, baada ya kuwageukia na kuanza kukata mauno kihasarahasara, jambo lililozua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii. Video
 
Yule dogo mi mwenyewe simuelewegi harakati zake yaani yupo kichokochoko,we ona
1.Mara apake wanja
2.anakatika viuno vya ajabu ajabu(tazama mwimbo wa katika alioshirikishwa na navykenzo)
3.sikiliza vizuri mashairi yake mara sijui amber rutty,mara sijui mafuta yamefanyaje,sijui asafishe mtaro,yaani ana mambo ya kifirauni firauni,eti matako yapo ndindindi apake mafuta mgando
4.angalia sasa nguo zake,suruali anayovaa yule jamaa aisee we huwezi kuvaa sheikh wangu
5.mara avae kikuku,Mara atoboe pua
6.halafu nasikia eti yale manguo yenye marangirangi meeengi kama rainbow, eti ni bendera ya mashoga duniani,sasa nashangaa dogo ndo anayapenda kinyama yani,ata kwenye gari na ile ndege ya wasafi festival kayachora marangirangi yake..sasa leo ndo nasikia kashikwa tako,aisee nimehudhunika sana!!

Ila dogo mziki wake mzuri balaa,unaweza kuombea mkopo NMB...lakini ndo haufai kwa watoto wetu!
 
Yule dogo mi mwenyewe simuelewegi harakati zake yaani yupo kichokochoko,we ona
1.Mara apake wanja
2.anakatika viuno vya ajabu ajabu(tazama mwimbo wa katika alioshirikishwa na navykenzo)
3.sikiliza vizuri mashairi yake mara sijui amber rutty,mara sijui mafuta yamefanyaje,sijui asafishe mtaro,yaani ana mambo ya kifirauni firauni,eti matako yapo ndindindi apake mafuta mgando
4.angalia sasa nguo zake,suruali anayovaa yule jamaa aisee we huwezi kuvaa sheikh wangu
5.mara avae kikuku,Mara atoboe pua
6.halafu nasikia eti yale manguo yenye marangirangi meeengi kama rainbow, eti ni bendera ya mashoga duniani,sasa nashangaa dogo ndo anayapenda kinyama yani,ata kwenye gari na ile ndege ya wasafi festival kayachora marangirangi yake..sasa leo ndo nasikia kashikwa tako,aisee nimehudhunika sana!!

Ila dogo mziki wake mzuri balaa,unaweza kuombea mkopo NMB...lakini ndo haufai kwa watoto wetu!
Kweli shekhe wangu.

Huyu jamaa angalia hyo clip yani anapekecha pekecha tako(japo hana)kama vile ile ya kina snura wanavofanya aisee.

Ila ndo kiki hiyo tayari shekhe wangu keshaipata,hawa wasanii mambo wanayofanya kwao wao sio ajabu,hata hili tukio la diamondi kwake wala sio ajabu,ila kwetu sie ambao sio wasanii tunaona jambo ovyo kabisa.

Huwenda kuwa matukio yanayotuhuxunisha siisi juu yao ndiyo yanayowafurahisha na kuwapa kiki mjini hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom