ni wa 101Ali kiba vipi?...
Huyu kijana wamuache tu, level si za kufananishwa na msanini yoyete hapa nchini.Wote wanatakiwa wajifunze mazuri kutoka kwake kuendelea kubishana wakati ushahidi upo ni kukosa akili.Nakumbuka Christian Bella alishawahi kusema hakuna msanii bongo ambae hatamani kuwa kama Diamond, wote wanatamani kuwa kama yeye lakini ndo hivyo tena Diamond is DiamondNa hizi VIDEO hapa chini, zinadhibitisha hilo. Hakuna hata video moja NILIOIWEKA ya MOMBASA HAPA.
Hahahahha asee hakika ni mkubwa kuliko hizo takwimAli kiba ni mkubwa kuliko hilo gazeti lenu la "influential young African"(in team kibakulis voice)
Mbon vyote unaongea wewe?where is Ally mbana pua?Dai atakuwa kanunua jina ili aingizwe kwenye list...hahaha hahaha ahhaha,team Kibakuli veepe?