Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Wewe ndo una mihemko habari hii ilikua february leo august braaa vipiiiAcha uongo, utimu usikufanye hadi unapotosha habari, kwenye hiyo top 100 wabongo wapo zaidi ya mmoja acha mihemko
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Soma tarehe uzi ulipopostiwaMtanzania pekee?
Nnaumwa urea nyinyi
Diamond ndo mtanzania pekee alietajwa kwenye 100 most influential young Africans 2016 katika list iliotoka Leo katika kipengele cha sports and entertainment.
Kutoka East Africa, Uganda amechomoza Anna kansiime, huku Kenya wakichomoza lupita nyong'o na mtangazaji wa focus of Africa kutoka BBC anaitwa Sophie ikenye
View attachment 466511
Kwa upande wa mwanamuziki wapo 3 tu , yaani Sarkodie kutoka Ghana, Wizkid kutoka Nigeria na Diamond Platnumz kutoka Tanzania
View attachment 466512
View attachment 466513
Mkuu umeangalia hiyo sired ni ya tarehe ngapi? Au unatoka povu tu?Acha uongo, utimu usikufanye hadi unapotosha habari, kwenye hiyo top 100 wabongo wapo zaidi ya mmoja acha mihemko
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Duh! Posti ni ya Feb mkuu,sio hii ya juziJokate sio mtz kumbe
rap beast
Ungekuwa darasani ushafeli tayariAcheni kupotosha bwana... Mbona Jokate na Millar Ayo wametajwa.
Team hazijawahi kuacha watu salama,yani akili zote umeweka mfukoni mkuu.post ya kitambo hiyoIna maana hawa nilio waona kwenye list ni wako kwenye category ipi?
Diamond
Ali kiba
Jokate
Lulu AKA Diana Elizabeth Michael
Nancy Sumari
Millard Ago
Flavian Matata
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hujavuka barabara angalia kulia na kushoto. Angalia tena kulia ndio uvuke. UtagongwaAcha uongo, utimu usikufanye hadi unapotosha habari, kwenye hiyo top 100 wabongo wapo zaidi ya mmoja acha mihemko
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Mwanaume atagongwaje? Acha genye tuliza mshonoKabla hujavuka barabara angalia kulia na kushoto. Angalia tena kulia ndio uvuke. Utagongwa
Ahahahaaaaa akili zako ndio zimeishia hapo. Kwan gari likigonga mtu linachagua huyu ni mwanaume haligongi?Mwanaume atagongwaje? Acha genye tuliza mshono
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
OkTeam hazijawahi kuacha watu salama,yani akili zote umeweka mfukoni mkuu.post ya kitambo hiyo
bro dada yupo sahihi kukuambia utagongwa,maana unakosea kanuni za kuvuka barabara...nazani umelijua kosa lako ndo mana umepanic sn,ucjali kila mtu alishawahi kukurupuka ktk maisha!Mwanaume atagongwaje? Acha genye tuliza mshono
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app