Mbona wapo tangu awali wanareply kwa kujipozahaters wakija mniite nijue kuona mapovu
Shilingi ngapi mkuu?Bei ni kubwa mno mkuu,najua watu wachache wanazo ila bei wanazouza doh cjui km atamudu
wasafi hawategemeyi tena ma radio ...insta na youtube ndo kila kitu kwao..Hamuoni kwamba hivi vituo vikianzishwa ... vituo vingine vitapunguza support kwa team ya WASAFI ?
YouTube ndo platform wasani wengi wanaitengemea kwani inalipa kile mtu anapata, acha na hizi tv na radio kwani hazito mraba wa malipo kwa wasani kama ilivyo elekezwa na mamlaka nyenye zama kwa wasani.wasafi hawategemeyi tena ma radio ...insta na youtube ndo kila kitu kwao..
Zitapatikana tuKwanza zipo ?
hizi ni zama za youtube na online dowload... diamond kwa alipofikia huwezi mshusha chini sababu umembania kupiga wimbo wake... maana anategemea youtube sana na ina faida kwake.... ndio maana nyimbo ikiwa kali miaka ya sasa inahit tu hata kama redio zikigoma kucheza