princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Mkuu wewe ulikiwa una miliki tv gan kwa hiyo miaka nane au ulikuwa mfagiaji wa pale sahara media kwa bwana ngosha dialloVery wrong investment. Tv kwa sasa hazina ela. I have been katika hii soko for 8 years. No money kwa sasa, labda after 2025
Itapambana na tv1 kwanza sio Clouds....wasifananishe Mawingu na vitu vya kizobaHuyo tunamburuza dk 0 tu
Anarud alikotoka
vivà mawingu
Cheti kimetoka zenji kwa shemelaNaskia hii ni purojekiti ya Kusaga.. Naskia ana mpango wa kugawana mbao na Ruge kule Mawingu.. Naskia kasema Da' Mange!
Kasema soon itakufaDa Mange anasemaje?
We jamaaa itakua diamond amekufanyia kitu kibaya sana sio kwa chuki hzo 99% ya comments zako huwa unamuattack sana... Mkuu chuki ni ugonjwaHuyo tunamburuza dk 0 tu
Anarud alikotoka
vivà mawingu
ahsante brooohamna ela au hauna ela... fanya kazi ndg. majungu sio mtaji... watu wana fanya kazi, wewe una miaka nane katika kuajiriwa au kuajiri? wenzio wana miaka zaidi ya hiyo na wanasonga na wengine wana gombania kuingia huko huko ulipo shindwa wewe...
mwambie tyuu kama huna huna kweli so majunguSawa
mwambie tyuu kama huna huna kweli so majunguSawa
wa nn shoga yuleMchukue MILARD AYOO
Matangazo hayapelekwi bila ya hiyo channel kuwa na uhakika wa viewers..Kama ni pesa naona hapa Domo atapiga hela,,maana matangazo nahisi yatamiminika sana ndani ya muda mfupi tu,kama nawaona cocacola,red tomato cjui,dstv,fastjet,vodacom,tigo kwa mbali,namengine..
Umeandika mambo mengi lakini ukweli ni kwamba vyovyote vile uwe umesajiliwa popote pale kama kituo chako kina fanya kazi tanzania lazima ufate sheria kanuni na taratibu za Tanzania,,,,, kuna mambo una changanya,,,,sijajua ila nikama azam alivyo sajiri nchi za nje lakini wanafanya shughuli zao TZ, nazani hata Clouds pia wamesajiri Dubai na kufanya shughuli zao hapa TZ, na zile washirika wa clouds coconut fm zilizopo zenji...
nazani wanajaribu kuepuka sheria ambazo wanaziona kandamizi ili wao wapate faida zaidi... ule ni usajiri tu hivyo ana ruhusiwa kuja kuwekeza huku bara... kama kampuni iliyo sajiriwa zenji
ukitaka kuingia ktk biashara lazima usome mazingira yake, ukutane na wanasheria na washauri pia... kuna ndugu alikuwa na uzoefu wa miaka nane katika media, nazani alifeli kwakuwa hakushirikisha wengine...
hii ni biashara na local channels ni bure, sasa nazani amejaribu kukimbia mtego wa local channels kama walivyo azam walivyo kimbia huo mtego wao...
Hiyo miaka nane wewe umekuwa kama mfanyakazi si mwenye kituo... kwa hiyo kamwe uwezi kujua faida na hakuna mwenye kituo atamwambia mfanyakazi kuwa mwaka huu hela ipo...ili akulipe kidogo lazima alalamike na aoneshe pesa hakuna kabisa...Very wrong investment. Tv kwa sasa hazina ela. I have been katika hii soko for 8 years. No money kwa sasa, labda after 2025
sawa umeeleweka mkuu ina kuna vile wana sema tuna vutia wawekezaji toka ng'ambo... na kuna vile wana vutia wazawa... wazawa za kwao ni bure ila wageni zakwao wana uza... cheki hapo huo utofauti na wote wanafata sheria...Umeandika mambo mengi lakini ukweli ni kwamba vyovyote vile uwe umesajiliwa popote pale kama kituo chako kina fanya kazi tanzania lazima ufate sheria kanuni na taratibu za Tanzania,,,,, kuna mambo una changanya,,,,
Anapewa sifa Diamond kwani yeye ndio aliyetoa wazo la hyo TV?!