Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Hii ni balaaa! WEMA ana folowers 249 zari ana followers 46999 nani zaidi? Zari ninoma, wema sepa zako kule.
 
Mnyamwezi yule....mashauzi jadii....

Halafu ile kolabo na j ro sijui itatoka lini?

hahahaha....jro bado hajapata message kutoka kwa meneja ake.....mtu kapewa visa mara ya kwanza tu anazungumzia kolabo na jro, akipewa nyingine si yatakuwa yale yale ooh mie nasafiri sana hadi birth certificate imepotea! :smile-big:
 
Ukweli lazima uwekwe wazi jamani, ukimwi tanzania ni mwingi, kila siku vijana wadogo wanakufa, sababu ya mambo kama hayo na huko Uganda napo hivyo hivyo, huo muda wa kupima afya zao wanao maana kila siku mara anatoka na wema, mara penny na sasa zari, umalaya mwingi ingawa hatupangii mtu jinsi ya kuishi ni bora kukumbushana, maana huwa tunajisahaau sana, haswa kwenye mambo ya starehe.
 
Duuuuh shem atujengee na cc mabotique cjuiiii ila ayoo macosmetic mmmh hapana
 
Hii ni balaaa! WEMA ana folowers 249 zari ana followers 46999 nani zaidi? Zari ninoma, wema sepa zako kule.

Hahaaaaaa! Mwache mdogo wetu Wema ashindane! Asiyekubali kushindwa si mshindani! May be next year scores zitabadilika! who knows!
 

Maisha anayoishi diamond ni picha halisi ya vijana/ wanaume wengi tu wa hapa kwetu!
Ni vile hawajulikani lakini wengi wamemzidi hata huyo Diamond kwa ufuska!
 
Sasa Diamond akamate fursa, binti wa kiganda ainvest Tanzania!
 
Maisha anayoishi diamond ni picha halisi ya vijana/ wanaume wengi tu wa hapa kwetu!
Ni vile hawajulikani lakini wengi wamemzidi hata huyo Diamond kwa ufuska!

Haswaaaaaa....
 
Wacha ajishaue tu huyo ndomo,soon tutaona thread zinafunguliwa hapa atakapoanza kulialia,yangu macho.
 
lamborghini ya mme wake

Hawakununua waliitest acheni ushabiki maandazi wanapesa lakini sio kama mnavyompaisha nilianza kumfuatilia zari toka april mwaka huu, maisha yake kama wema sepatu mfukoni ana elfu 3 anakuonyesha mbwembwe na kutangaza ana alfu 20.... You know it le "misifa"
 
lakini jamani mbebs mkaree balaa.juu ya kuzaa watoto wake 3, analipa ile mbaya.sura mashallah,na figure anayo.hela anazo,hategemei kuhongwa

Acheni ushabiki zari ni kahaba huko kwao uganda msibabaike na picha za insta, wabongo kwa kushikwa akili.... Yule malaya first grade wema anasubiri pale!!!
 
Acheni ushabiki zari ni kahaba huko kwao uganda msibabaike na picha za insta, wabongo kwa kushikwa akili.... Yule malaya first grade wema anasubiri pale!!!

Kumbe ni first grade.. Basi dimondi kaimprove from Malaya business class to Malaya first class.

Wema tunajua dau lake haya we unayemjua zari tuambie kulala nae ni bei gani
 

Ina maana anaenda show room na plate number za jina lake alafu anabandika sio.. Au zile plate number za jina lake kwenye hizo ndinga ni Photoshop?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…