Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Acheni ushabiki zari ni kahaba huko kwao uganda msibabaike na picha za insta, wabongo kwa kushikwa akili.... Yule malaya first grade wema anasubiri pale!!!

Alafu we Wema Sepetu tulia tu, ushaachwa usihangaike na ma ID fake kuja kumchafua Mke mwenzio.. Dimondi si level zako tena
 
Alafu we Wema Sepetu tulia tu, ushaachwa usihangaike na ma ID fake kuja kumchafua Mke mwenzio.. Dimondi si level zako tena

Tuheshimiane mkuu ushaanza madharau sasa unanigamanisha na mama ubaya.... Teh teh
 
Acheni ushabiki zari ni kahaba huko kwao uganda msibabaike na picha za insta, wabongo kwa kushikwa akili.... Yule malaya first grade wema anasubiri pale!!!
Ndo matatizo ya kujifanya kuwafahamu watu haya kupitia kwenye mitandao... tena mbaya zaidi mitandao aina ya magazeti ya udaku!! Wengi wenu mmemfahamu Zarina hivi majuzi tu matokeo yake hamna reference yoyote kuhusu yeye hadi hadi m-Google na kukuta reference ambazo zinaweza kuwekwa na yeyote yule bil ushahidi!

The problem with Zarinah ni mtu wa ku-mingle kupita kiasi to the point Waganda, and in fact media za udaku za Uganda zinamuona ni kama mpenda attention wakati ni wao ndio wanaomfuatilia. It's like TZ na Diamond... Dar es salaam hii kuna washenzi mahasherati Diamond mwenyewe hagusi lakini ukifuatilia media unaweza kuamini kwamba Diamond ndie asherati namba moja nchi hii... hata huyo Wema, uasherati wake mwingi ni wa kwenye magazeti... uliza yoyote anayesifia uasherati wa Wema akupe ushahidi basi ushahidi wake ni wa kwenye magzeti ya udaku magezti ambayo yanaandika habari za watu ambazo wanajua kwamba watauza bila kujali kama ni kweli au uongo.
 

What's your point bro
 

Ati! Hujakubali bado?
 

Tatizo huwa mna hukumu mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…