Diamond athibitisha Mbosso kuondoka rasmi WCB Wasafi na hajamdai hata TSh. 10

Diamond athibitisha Mbosso kuondoka rasmi WCB Wasafi na hajamdai hata TSh. 10

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Bosi wa lebo ya muziki wa WCB Wasafi Diamond Platnumz amethibitisha Mbosso kuondoka rasmi chini ya lebo hiyo na kuwa msanii huru ambaye anajitegemea mwenyewe kisanaa.
Akimwelezea kutokana na ukarimu na heshima ya Mbosso kipindi chote wakiwa pamoja, imemlazimu kumuachia Mbosso bila kumlipisha gharama zozote kama mikataba ilivyotaka na kuifanya hiyo kama sehemu ya baraka zake katika safari mpya ya Mbosso kisanaa. Na kusema; "Atakayemgusa Mbosso kanigusa mimi! Tutapambana naye!"
 
Hawa wasanii hawaisaidii ccm kabisa

Na whoever told ccm strategy yao ni akina mondi na stivu Nyerere kakosea sana

Sherehe ya ccm yeye anaongelea Mbosso na kuhamisha kabisa mada

Ccm inawapoteza youths wengi wenye tamaa ya mafanikio Kwa kukumbatia mpira na wasanii

A very wrong strategy
 
Uongo tu! Tusubiri baada ya muda tutasikia wamelipishana bei gani.
 
Na lebo yake tayari ameshaipa jina inaitwa sele mshedede khan(SMK)
 
Back
Top Bottom