haa haa haa dai akianzaga kumchoka mtu anakuwa na shombo sanaLeo zari anaitwa "yule wa south Africa"
Hahahaaa!
Mimi siyo mpiga dili bibie.Jaman hivi magu Bado hajawanyoosha tuu?
Umbea ukifika JF ndio huwa naupata lakini kudhurura kwenye mitandao ndio nimeshindwaga.Baba samira umeacha lini umbea?
Waite wakalishe chin"...nimesoma nikarudia sijaona tatizo la Azimio la Arusha, nikaona watu wakaitana kimya kimya wakaenda Zanzibar, waliporudi huko tukaona wanaongea chinichini, sie wenye akili tukajua ndio Azimio limekufa hilo..." Mwl. Nyerere
Amezaliwa Tandale,kala sana utumbo wa kuku na vichwa vya kuku,hapo lazima aende resi kama kuku,moja haikai mbili haikaiHuyu mpuuzi ni bonge la mshamba. Sijui mshauri wake mkuu ni mama yake sababu kama akili zao za kukosa hekima +elimu zimeendana
[emoji1][emoji1][emoji1]Leo zari anaitwa "yule wa south Africa"
Ha ha ha ha ha haa"...nimesoma nikarudia sijaona tatizo la Azimio la Arusha, nikaona watu wakaitana kimya kimya wakaenda Zanzibar, waliporudi huko tukaona wanaongea chinichini, sie wenye akili tukajua ndio Azimio limekufa hilo..." Mwl. Nyerere
Waite wakalishe chin
Mkuu umeongea point kubwa San BT iyo point umeongea ukiwa nje ya uharisia,,Unapojiona una usuperstar flan au umaarufu flan na una mashabiki wa pande mbili ni busara nzuri endapo utakua mtulivu kwa mashabiki hata kama wanakuboa si vizur kuwajibu au kurusha vijembe ... Ni kawaida msanii kupendwa na kuchukiwa ...........sasa huyu mwenzetu ndo matako yanalia vile wahenga walivosema au nayeye yumo kwenye albadili
Tunashukuru kama kamuacha atuachie mondi wetuZari kishakuacha endelea kutembeza mwenge, usiruke kijiji
kumbe ni wenu, we na hamisa au na nani tehTunashukuru kama kamuacha atuachie mondi wetu
This time yy ndio atakua amechokwa, refer kauli aliyotoa ya kutembea kwa magoti adi SA ili asamehewe. Zari ameona afunge vioohaa haa haa dai akianzaga kumchoka mtu anakuwa na shombo sana