Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mi naufata instagramUmbea ukifika JF ndio huwa naupata lakini kudhurura kwenye mitandao ndio nimeshindwaga.
Bhc kumbe kila MTU apambane na hali yakeMambo ya Ngoswe hayo mkuu, mie mwenyewe ya kwangu napambana nayo kimya kimya!!!!
Wetu wote Tanzania,,,mama tee vipi halambishi tena watu ndimu[emoji23][emoji23]kumbe ni wenu, we na hamisa au na nani teh
CheeersWetu wote Tanzania,,,mama tee vipi halambishi tena watu ndimu[emoji23][emoji23]
Umeona dai kasema hajaoa bado,[emoji23][emoji23] huyo ndio daimond platnumzz chibudee chibude
Dai aacha k changa agandane na k iliyotoa watoto 5 helo,,zari kamzidi dai miaka kumi na kitu,dai kanifurahishaHajaoa na hata akioa anaruhusiwa kuwa nao wanne period, zari pole yako vibenten havifai kupewa tumbua aisee
Kijana povu kubwa sana hili. Ila pole sana maana sifa unaipenda sana
Dah nakusalimu muhanga mwezangu mange kaniblock hata mimi nina na akaunti mbili za insta na zote kaniblock yani mange anasoma kila komenti nkila negative commenter anamblock ndo mana posti zake zimejaa masapota kwasabu anablock wanaompingaMange kimambi kanipiga bani kisa kumwambia aache kufatilia mambo ya diamond. Wasanii wanatafta kiki ili waendelee kutrend kwenye masiko ya watu.
Mbona wapo humpinga na kumtukanaDah nakusalimu muhanga mwezangu mange kaniblock hata mimi nina na akaunti mbili za insta na zote kaniblock yani mange anasoma kila komenti nkila negative commenter anamblock ndo mana posti zake zimejaa masapota kwasabu anablock wanaompinga
Ndo kwanza ana miaka 28, kwa kweli yataka moyo, Yale mashauzi sasa alokua nayo huyu jirani wa ug sasa aiseeeeDai aacha k changa agandane na k iliyotoa watoto 5 helo,,zari kamzidi dai miaka kumi na kitu,dai kanifurahisha
Kweli kabisa.Sasa hapo mtu keshajisemea hajaoa na ndio kwanza mbichi damu inachemka...kuna la kusema tena?
Huwezi kutoa hayo maneno kama ndoa yako iko imara na haina mushkeli, mtu hunena ya ujazayo moyo wake.