Diamond atoa msaada wa mamilioni kwa aliyetobolewa macho na scorpion

Duuuh !!! Huu ushabiki huu, 2million ndio mamilioni??? Bora ungesema makonda kamhangaikia kapata m10, bodaboda 5, bajaji2 Na nyumba atajengewa... Ila nayeye kajitahid
 
Watanzania ndivyo walivyo manake hata kule Arusha tapeli tu akiuwawa na matapeli wamezulumiana gazeti linaandika Bilionea afa,,,sasa unajiuliza hivi Arusha ina mabilionea wangapi? ndio mana million 2 ikiitwa mamilioni pia sio kitu cha ajabu kwa wabongo...
 
Tuache unafiki jamani....huyu si nliskia baba ake mgonjwa??? Sasa kama unashindwa msaidia baba ako mzazi (hata kama alikukosea) kumsaidia mwingine huoni ni unafiki wa kiwango cha lami???
Kiki!
 
Tuache unafiki jamani....huyu si nliskia baba ake mgonjwa??? Sasa kama unashindwa msaidia baba ako mzazi (hata kama alikukosea) kumsaidia mwingine huoni ni unafiki wa kiwango cha lami???
Habari ya mjini sasa hivi ni mtobolewa macho Said ukimfanyia kitu sasa hivi unapata kiki balaa baba yake hana kiki hata akimsaidia inaonekana ni wajibu wake ila kwa Said ni kiki.
 
Inahusianaje na mada iliyotolewa.Anzisha uzi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…