Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
ata Ali Kiba nae wanamuogopa sana,ana mapete yale ya kishirikina vidole karibu vyote na huwa anayavaa akiingia studio na akipanda stejini...muulize Lamar anajua mchongo wote wa Ali k,mpaka watu wakifika studio wakimkuta Ali wanahairisha kurekodi.
ata Ali Kiba nae wanamuogopa sana,ana mapete yale ya kishirikina vidole karibu vyote na huwa anayavaa akiingia studio na akipanda stejini...muulize Lamar anajua mchongo wote wa Ali k,mpaka watu wakifika studio wakimkuta Ali wanahairisha kurekodi.
Huyo dogo muongo mimi naishi nae huku tabata kisukuru kweli ni huu baba yake ni muislamu wa itikadi kali mithili ya sheikh ponda naalisha mwambie kama ataendelea muziki kitachompata asimlaumu..
Na kama ni kuumwa kaanza kabla hajafahamika; kutokana na kukiuka matakwa ya mzee wake.
Na ilifika kipindi hadi hadi akwa anataka kuchanganykiwa na laana hiyo ya mzee wake