Diamond atumbuiza Big Brother

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,599
Reaction score
2,161
Msanii wa Kitanzania DIAMOND leo hii ametoa burudani ya wimbo wake Mawazo katika Big Brother Africa. Leo ni siku ya Eviction show ambapo Mmoja kati ya washiriki Ataondolewa Mashindanoni.
 
Kitu cha mbagala hajawakatia mauno?
 
Sasa cc tufanyeje?Leta mada nzito siyo hizi nyepec na binafc.
 
dayamondi nooooouuumeeeer.

Sikujua kama anatema mayai yaleee

me love this bwoyy.

Nyambaf zang mwenyewe lol
 
dayamondi nooooouuumeeeer.

Sikujua kama anatema mayai yaleee

me love this bwoyy.

Nyambaf zang mwenyewe lol

nilihofia asitegue ulimi tu.....

Ila wimbo wa moyo wangu hakuuimba vyema(mtazamo wangu)
 
nilihofia asitegue ulimi tu.....

Ila wimbo wa moyo wangu hakuuimba vyema(mtazamo wangu)
kwa kuimba ni kweli sauti haikuwa safi kivile ila kwenye kucheza kijana wa watu kacheza saafi sana,hasa mwimbo wa kwanza kashangiliwa sana.big up diamond!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…