diamond auwasha moto barcelona hispania

diamond auwasha moto barcelona hispania

Ameweza


  • Total voters
    1

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
staa wa muziki wa bongo fleva nchini tanzania Diamond platmumz amefanya show ya kibabe usiku wa kuamkia leo julai29 huko barcelona nchini Hispania katika event ya afrobrunch ikiwa ni maadhimisho ya ya mziki wa afrobeats , akiwaacha mashabiki hoi kwa kutumbuiza nyimbo zake pendwa ,hii ikiwa ni show yake ya pili masaa kadhaa baada ya kutumbuiza kwenye show ya afro land huko ujerumani julai 27 .
 
Back
Top Bottom