Diamond avuruga press ya utopolo makanjanja yaingia mitini

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Bongo hatari sana, kuna siku Pambalu wa CHADEMA kwa niaba ya BAVICHA aliitisha press kuzungumiza upandaji wa uongo wa mshahara na siku hiyo hiyo s Alhaji Takadini alikuwa na press yake ya kumchamba Karia na TFF, guess what, Bavicha walipata mic moja tu woote walikuwa kwa Alhaji Takadini

Leo tena utopolo wamekimbiwa na makanjanja yoote yalikuwa kwa ndomo, poleni sana na hapo ni baada ya jana kutujambisha na story ya Manzoki ika boost uwepo wa hiyo press

 
Punguza umbumbumbu
 
acha ku crop picha we topolo hizo zina tofauti gani na nilizoweka sababu zimeongezeka mbili tu au kwa vile umeweka close up shot?
Tufanye nipunguze umbumbumbu kama ulivyosema mr topolo, hizo ndizo microphones zinazohudhuriaga press za utopolo?
 
Akili za Makolo bana unaweza kukuta huyu ni mtu mzima na anafamilia
hizo microphones ziko ngapi? ina manaa ndomo bin laden kachukua makanjanja yote? oh noo wengine walikuwa kwa karia kusikilizia majina ya taifa stars
 
Walichofanya makanjanja siyo poa kwa kweli yaani bora kwenda kumsikiliza babalevo kuliko mipango ya msomali Hersi
Kwa hiyo kilichotokea hakijakufikia, au hujakisikia,,??? Maana nia kuu ni watu wapate taarifa. Na we have so many ways za taarifa kufika kwa uma, hiyo ya uliowaita makanjanja is just one of them. Relax KOLO WA MBUMBUMBU FC
 
Kwa hiyo kilichotokea hakijakufikia, au hujakisikia,,??? Maana nia kuu ni watu wapate taarifa. Na we have so many ways za taarifa kufika kwa uma, hiyo ya uliowaita makanjanja is just one of them. Relax KOLO WA MBUMBUMBU FC
Kwa hiyo mnakubali kwamba kwamba makanjanja leo yamewadharau?
 
tafuteni jina jingine ndugu zangu liwe kali kama lile la utopolo mlilojitungia
View attachment 2328660
Kolo ni kifupi cha makolokolo.. !! Kuna maneno ya kiswahili yana maana zaidi ya moja, tena mengine tofauti ni kwenye matamshi tu.. mfano, neno BARABARA..!! Inaweza ikawa na maana ya njia ya kupita au inaweza ikawa na maana ya sawia

NYIE NI MAKOLOKOLO A.K.A MAKOLO a.k.a tena NA HASA UKIWA MMOJA UNAITWA KOLO. Usisahau mna kolo za kike huko MBUMBUMBU FC kama dadaangu, mlongu wangu cocastic
 
ohoo unaamnaisha jezi zenye makolokolo siyo? kweli kabisa jezi zenu zimetulia sana very simple hazina makolokolo kabisa ila zeruzeru alhaji sope takadini si alisema likiwa moja liitwe kolo au mmekataa kufata amri yake?
 
Kwamba Yanga ikiwa na press kazi zingine zisifanyike? Mungu saidia hii kenge ijitambue
yaani babalevo makanjanja yamemuona wa maana kuliko pwagu Hersi? si ni bora Pwaguzi takadini angekuwa hajafungiwa makanjanja yangejaa kusikiliza uharo wake
 
Akili za Makolo bana unaweza kukuta huyu ni mtu mzima na anafamilia
Mimi naomba tu hiki unachotabiri hapa, kisiwe na ukweli wowote ule.

Na badala yake, awe ni kijana tu mdogo ambaye yupo likizo ya SENSA kwa wazazi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…