Wazungu walimshangaa sana kwa muonekano wake wa kisupastaa na bei ya mbwa huyo ilivyo ghali ambapo inaaminika kwa bongo inaweza kutosha kununua verossa.
Big up Dangote platinum...haters watakoma mwaka huu.
Habari nyingine za huyu dogo sasa zinakera
Mbwa bei ya verosa?au mmejisahau mkajuwa na sisi ulaya na marekani hatufiki?
Mbona ndio maisha yangu huko unadanganya watu peupe tena enzi hizi.
Aisee huyu alieleta hii mada ni mshambaa!!! Wazungu wa nchi gani wanaoshangaa usupa staa wa Diamond??? Yaani we ni mshamba hadi nashindwa kuku-describe. Sorry for u!!
hapana mkuu wewe huwajui mbwa, huyo mbwa ndio shape yake ingia Google angalia aina mbwa utaelewa tena hao kwa ulinzi ni balaa, hapa natumia simu ningekushushia vitu.