Bila skendo daimond hauzi.......
Yaani kila baada ya muda lazima waachie ushuzi ili watu wawajadili
the girl yuko next level..... huwezi mlinganisha na wema hata kidogo kwahiyo ana utilize every opportunity she gets.
kwahiyo ukiwa na degree usipande jukwaani kuimba....
umeonaa
bora umenisaidia jokate anakaba
wapo wengi wasomi na wanaimba
unaweza kumuita kiraka
mi sishangai ye kuimba s anatafuta kwa riziki yake
Nimeshangaa.
Tukisoma,Tusiimbe?
Tukisoma,Tusipende?
Tukisoma,Tusikosee?
Tukisoma,Tunakuwa Perfect!
She Has Got The Right To Make Her Own Mistakes.......
Great minds discuss ideas, average minds discuss events, poor minds discuss pple
Mnawapa promo bila sababu
Bwana tumechoka na mambo zaoo tufanyeni yetuu
hawa ndio kioo chetu lazima tukisafishe tukione good
Sasa ndo naanza kuamini maneno ya lara 1 kwamba jamii imejaa unafiki na walimwengu hawana jema...
Huyo Jokate angedate na Mengi wangesema...ooh mzee, anamchuna tu...
Angedate na gentleman kidogo wangesema ooh....kapora mume wa mtu...
Kadate na Hasheem Thabeet watu yakawatoka maneno ...ooh ana nanihii ya pundaa...
Kaja kwa kitorondo....ooh tumemdharau yule mswahili...
Sasa mnataka ampe nani? Awape nyie au afe na utamu wake?
Walimwengu hawaishiwi cha kusema....