Sio Ruge tuu, wengi sana wako hivo
Ila domo kajikaza na kaongea vizuri alo wafikishia ujumbe nadhani wame upata, kawaokoa hata wasanii wa kiume siyo kila siku wasanii wa kike kina ruby ndo wafikishe ujumbe bhana
Hahahahabora mkuu umejua ila kwasababu mond kahojiwa na clouds mkuu kaelewa direct dongo lao
Katika kipindi cha D'wikend chat show cha clouds TV, ameulizwa " Meneja wako Sallam analalamikiwa yupo too hasrh and over protective to you. Unalizungumziaje?". Amejibu " Sallam yupo kwa ajili ya kulinda brand...kuna watu ukishakuwa na jina wa nataka wakutumia wakitumie bure halafu ukishuka wanakuacha wanafuata MTU mwqingine na mifano IPO..."Amerudia sentensi hiyo mara mbili. Kwa maoni yangu .Hili ni dongo la kiutu uzima kwa Clouds na Ruge
Utumwa ni mabaya sana ...' Time ya mondi kuwakomboa wenzake chini ya unyonyaji huu... 'Hakuna utumwa mbaya kama wa kutokujitambua huko utumwani....' Wachane brooLabda nikusaidie tu kwani yawezekana ukawa hujui kuwa Diamond hata afanye nini au aseme nini mbele ya hawa ' Mataita ' wawili Ruge na Fela hapindui hata 'chembe ' na hawa ndiyo kwa 100% wapo nyuma ya mafanikio yote ya Nasib Abdul a.k.a Diamond. Na Clouds fm na tv ndizo zimemsaidia mno kama siyo sana kuwepo hapo alipo kimuziki na kujulikana kwa kiasi kikubwa.
Utumwa ni mabaya sana ...' Time ya mondi kuwakomboa wenzake chini ya unyonyaji huu... 'Hakuna utumwa mbaya kama wa kutokujitambua huko utumwani....' Wachane broo
Hahahaha
Kweli kila aliye wahi fanya hivo ana husika
*ila nimependa kuwa lita mfikia Ruge ki urahisi zaidi
But nahc amechemsh
Wana wanyonya sana wa wasani asee hao cloudzkwakweli ila hakuna wa kubisha ukikosa airtime clouds kama ni msanii unaye chipukia utapata tabu sana nyimbo mpya ya rubi haina kik kwann..? je angekuwepo clouds ingekosa kik..? clouds media sio watu wa mchezo mchezo
Wana wanyonya sana wa wasani asee hao cloudz
Ruby mi huwa namksoa Efm na EA radio , pi si mskilizaji sana wa Cloudz kwa kweli
Acha uwongo wako we jamaa rais mstaafu wa awamu ya 4 ndiyo kamfikisha Diamond hapo alipo + juhudi za diamond hao ulio wataja ni washika mikia!Labda nikusaidie tu kwani yawezekana ukawa hujui kuwa Diamond hata afanye nini au aseme nini mbele ya hawa ' Mataita ' wawili Ruge na Fela hapindui hata 'chembe ' na hawa ndiyo kwa 100% wapo nyuma ya mafanikio yote ya Nasib Abdul a.k.a Diamond. Na Clouds fm na tv ndizo zimemsaidia mno kama siyo sana kuwepo hapo alipo kimuziki na kujulikana kwa kiasi kikubwa.
Acha uwongo wako we jamaa rais mstaafu wa awamu ya 4 ndiyo kamfikisha Diamond hapo alipo + juhudi za diamond hao ulio wataja ni washika mikia!
Kajibu vizuri sana karusha jiwe gizani atakayegumia ujue limempataKatika kipindi cha D'wikend chat show cha clouds TV, ameulizwa " Meneja wako Sallam analalamikiwa yupo too hasrh and over protective to you. Unalizungumziaje?". Amejibu " Sallam yupo kwa ajili ya kulinda brand...kuna watu ukishakuwa na jina wa nataka wakutumia wakitumie bure halafu ukishuka wanakuacha wanafuata MTU mwqingine na mifano IPO..."Amerudia sentensi hiyo mara mbili. Kwa maoni yangu .Hili ni dongo la kiutu uzima kwa Clouds na Ruge