Diamond awapiga Clouds kijembe cha kiutu uzima

mijitu mingine bwana eti nyumba ya diamond kuna clouds TV , hivi hii TV ilianza kabla ya channel 5 ? na startv ?
 
Aisee amejibu vyema na bila kukurupuka
 
Mimi naona sheria iwekwe ili ruge na wenye tabia kama ya ruge... wabanwe na sheria ili wasanii wafaidi matuda ya kazi zao sio kulaliwa kimasilahi...
Rugay ndo mtunga sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…