Diamond azungumzia kifo chake kwenye wimbo wake mpya!

Tangopori

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,285
To download the song and for more info ingia hapa!
http://millardayo.com/diamond10/
 

Attachments

  • dp.jpg
    35.3 KB · Views: 866
Duh............hii ishu nimeisikia jana...na leo alfajiri nikasikia tbc wanacheza ule wimbo wa enzi hizo wa mzee Zahir Ally....

......"nimekubali yanayosemwa na watu.....ni kweli.....wanaopendwa na watu siku zote...hufa wangali vijana"....

Eeee Mungu naomba haya yabakie kwenye muziki..............
 

Amen,long live my bossie
 
Masonic wanadai vyao nini? RIP..:A S 39:























In the long run we are all dead.
John Maynard Keynes
 
:frusty: :frusty: :frusty: HUU USUPASTAA NI MAJANGA! MBONA HAMJITABIRII MEMA JAMANI, MNAJITABIRIA MAJANGAAA! "BAK NAOMBA NIWEKEE MAJANGA BY SNURA NIBURUDIKE!
 
Daimond sipendi ufe jamani,
hata mimi mama napenda sana muziki wako,
Mungu autunze uhai wako.
Dah umeandika kwa hisia dadangu...natumaini Mungu amesikia sala zako,ila atafanya kinachompendeza yeye na kwa wakati umpendezao..
 
This is sooo touching.
Ila ni vizuri tukiwa tunakumbuka kua dunia hii siyo yetu tunapita tu,na hatujui kama kesho tutaiona au kuimaliza salama,lakini ni vyema zaidi tukiwa tayari kwa hilo kwa kufuata njia impendezayo Mungu.
Kwahiyo usijali dimondo Mungu anafanya linalompendeza tena kwa wakati umpendezao.
Na swali lako kua kawa watu watasikitika ndio watasikitika sana na watakuimbia wataprint matishirt yenye picha yako lakini wataendelea kufanya yao,na kua kama hawatamkimbia mama yako,hapo ndo napata wasiwas maana watu wapo kimaslahi zaidi na mtu akifa huondokaga na mali zake,hivyo unaweza kumsaidia mama si kwa kumnunulia mikufu ya dhahabu kila style but kumtafutia kitu kitakachomsaidia sana hata pale utakapokua haupo..ni hayo tuuu
 
Bora kama anahofu ya Mungu.!!
 

Ukiona hivyo ujue safari ya hapa duniani imefika mwisho.
 
Ninachowapendea wabongo wamesoma tu heading na kuanza kucoment povu zao
hata wimbo wenyewe hawajskiliza kimeimbwa nn mule
wimbo wenyewe upo toka mwaka jana na umevuja tu ..diamond hajautoa mwenyewe
 
huwa anasema umevuja lakini si kweli wimbo utavujaje wenyewe bila kuvujishwa,tunaelewa saaana hii mbinu ya kibiashara,by the way naipenda kazi za bosi wako.Na aishi.
Ninachowapendea wabongo wamesoma tu heading na kuanza kucoment povu zao
hata wimbo wenyewe hawajskiliza kimeimbwa nn mule
wimbo wenyewe upo toka mwaka jana na umevuja tu ..diamond hajautoa mwenyewe
 
Walikuwako kina Bob Maley, Michael Jackson, Whitney, Elvis Plasley, John Lennon, Jimmy Hendrix

Mbaraka Mwishehe, Dr Remmy, Franco Lwambo Makiadi, Madilu System, Tx Moshi William, Pepe Kale, Mtoto Wa Dandu

wote hao wametangulia mbele ya haki na maisha yataendelea, na yeye ikifika siku ya mwisho atakufa tutasikitika mwisho

wa siku maisha yanaendelea
 
Elvis presley mkuu!! Point of correction tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…