BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Neno "beats" tu linaleta problemkila la heri Chibu Dangote
True mkuu..ila afuate taratibu tuNeno "beats" tu linaleta problem
wenzetu hawana utani kwenye masuala haya ..hadi nukta inasajiliwa
Kwanini mkuuMondi amebugiiii meeen
Sidhan mkuuKijana anapasua anga. Nahofia sana taratibu zetu za kodi ndizo zitakazomkwaza. Punde ataanza kufuatiliwa na watu wa kodi
Sidhan mkuu
ukishakua karibu na .........
unadhan utasumbuliwa tena