GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,348
- 1,805
P-Square kwa pamoja wana utajiri wa N22 billion ambazo ni sawa USD $110 million vijana hawa wawili wenye stashada ya Business Administration katika chuo cha Abuja nchini Nigeria.
P-Square hawakukurupuka kufanya collaboration na Diamond walijua Diamond ni bidhaa na Brand Bora ya Buradani Africa ambayo itawazidishia radha nzuri ya music na pasipo hiana Diamond Kama Iniesta kafanya kama walivyohitaji wao.
Mhubiri 3 Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu. 5 Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe; Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatia;
Huu ni wakati wa Diamond platinum wa kukusanya na kukumbatia sababu kwa sasa yeye ni kila kitu katika music wa Tanzania ,Diamond ni maarufu Dunian kuliko Hamisi Andrea Kigwangalla na Makondakta
Napenda HipHop ila namsikiliza Diamond kwa jicho la haki na kumtizama kwa macho ya haki popote ulipo kazi yako imetukuka na ni ya kiwango cha hali ya juu am so proud of you and yo deserve the best tumia vyema jina lako wakati ukuta. Hate leaves ugly scars, love leaves beautiful ones.#DiamondsAreForever.
P-Square hawakukurupuka kufanya collaboration na Diamond walijua Diamond ni bidhaa na Brand Bora ya Buradani Africa ambayo itawazidishia radha nzuri ya music na pasipo hiana Diamond Kama Iniesta kafanya kama walivyohitaji wao.
Mhubiri 3 Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu. 5 Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe; Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatia;
Huu ni wakati wa Diamond platinum wa kukusanya na kukumbatia sababu kwa sasa yeye ni kila kitu katika music wa Tanzania ,Diamond ni maarufu Dunian kuliko Hamisi Andrea Kigwangalla na Makondakta
Napenda HipHop ila namsikiliza Diamond kwa jicho la haki na kumtizama kwa macho ya haki popote ulipo kazi yako imetukuka na ni ya kiwango cha hali ya juu am so proud of you and yo deserve the best tumia vyema jina lako wakati ukuta. Hate leaves ugly scars, love leaves beautiful ones.#DiamondsAreForever.