kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
You said it all.... Uwa ninashangaa kwanini lawama watupiwe clouds wakati kuna medias kibao sijui hizo medias nyingine kazi zao ni nini....Utapeli wao ni upi?? Media zipo nyingi, vipi mnaona ni wajibu wa clouds ku-promote wasaini wadogo??? Huu ni uzwazwa, wanafanya biashara hawa siyo Charity, wanaangalia faida sawa na mfanyabiashara mwingine yeyote. No ujinga kumwandama mtu kwenye biashara zake.
Wasafi imeanzishwa, wacha hao wasaini waende huko, hayo ndiyo maendeleo
Yani utaskia sijui clouds haipigi nyimbo za msanii gani unakuta huyo msanii hata kwnigne walisha msahau. Sijui clouds imempoteza Suma G unakuta anaye lalamika ukimwambia akutajie playlist ya ntimbo zake 100 huyo Suma G hata wimbo wake mmoja hauweki