Diamond ( Dangote) kuna dada anaomba kusaidiwa, usijifanye haujasikia

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Huyu Dada ni miongoni mwa watu walioshiriki kuimba nyimbo ambazo zilipelekea wewe kusikika na hatimaye kufika hapa ulipo ( ingawa umeanza kuharibu ) hivyo msaidie usijafanye kama haujamsikia.

Ameomba msaada asaidiwe hivyo nipenda kuona kuwa wewe unakuwa mstari Wa mbele katika hili
nawasilisha
 
Yukowapi mkuu weka kapicha namm nmjue ili nichangie kanunu
 
Hawa anasikitisha sana kwa kweli, by then she is just 27yrs old
 
Sasa ameanza kuharibu nini mbona unakuwa na majungu tena.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Yule aikuwa anahitaji msaada toka kitambo ndio maana alisaidiwa kwa kuwekwa kwenye platfom ya muziki kipindi kile, ila inavyo onekana huyu dada hasaidiki.

"the highest risk should give maximum profit"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…