playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Haiwezi kuwa sababu ya watu kutotoa ya moyoni...watu wanamsema trump mzee sembuse huyo dogo.Wakati unaandika haya he is far away making pounds m dollars on bulks
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanamuziki hapo kumekuwa na mtukanaji na mwizi hahahahaaaMatusi yamekua mengi sana
Tena bora ya sound Mara mia 5 na kwa cm yangu ipo ila siyo hiyo baba lao ni upuuzi wa kiwango cha SGR.na ametoa takataka nyingi kibao kweli tukianza na Sound,tukija na baba Lao zote mwaka huu na hazisikiki tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahaba yamemzidi huyo achana nae.ficha ujinga I love u inajulikana everywhere je JEJE maana yake ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nyimbo ina miaka miwili ina 1.8m views, ya Mondi 24hrs ina 2mil views...
Kucopy jina sio tatizo, mfano search nyimbo za I love you au nakupenda uone zilivyo nyingiMbo
Mkuu mbona hii haifanani na jeje ya mondi?
Au tuseme kakopi jina?
certified idiot...Huyo Swizzbeatz ni B class producer kama siyo C tena during his peak. Hana makubwa ya kujivunia kimuziki. His only claim to fame today labda kumuoa Alicia Keys.
Mi sijasema kukopi jina tatizo.Kucopy jina sio tatizo, mfano search nyimbo za I love you au nakupenda uone zilivyo nyingi
Yaani The One from A-Z ni sawa na "ya King Tee Dee" halafu bado unaamini Diamond kakopi na asifanye chochote pamoja na watu kum-pump!! Beat aliyotyumia jamaa imetengenezwa na Laizer, ndani kuna signature ya Wasafi but still unaamini Diamond ndie kakopi?!Why always him kuanzia nyimbo aliyofanya na jamaa wa Zimbabwe sijui THE ONE na nyingine nyingi.
You're right, endorsement ndo kila kitu lakini dunia ya leo huwezi kupata endorsement za maana kama hufanyi vizuri kwenye social media!! Zile Views na Instagram Followers unazoelekea kama unaziona si chochote ndizo determinants zenyewe za kupata endorsement!! Suala la eti mbona tangia apate deal la belaire hadi leo hajapata deal la maana ni hoja isiyo na mashiko kwa sababu Brands zote duniani huwa zinatoa endorsement kutokana na target market na influence ya yule wanayempa endorsement kwenye target market. Kwa mfano hao Nike uliowataja, target market yao ilikuwa Nigeria, na ndio maana walitengeneza hadi jezi za timu ya taifa ya Nigeria!! Sasa ulitarajia endorsement wampe mtu wa SA wakati wanafahamu kuna Naija Celebs wenye influence kubwa kwenye target market?kupata viewers wengi huko youtube au kujaza watu huko kigoma sio kigezo cha kupata pesa mjomba elewa ilo usidanganywe endorsement ndo kila kitu wakina wizkid wanaingiza mtonyo mrefu kupitia starboy label wizkid alilipwa pesa ndefu na kampuni ya nike kutumia jina hilo kwenye brand zake we haujiulizi kwanini isiwe diamond tangia apatage ile kampuni ya vinywaji berare mpaka leo hajapata dili la maana
Kwahyo kakopi jina hilo la JEJE ama? Maana nyimbo haiendani na hii ya Diamond.
Nakushauri wewe ucheze movieChorus kama joro ya wizkid
Yule dem kucheza kama angelina ya burna boy
Beautiful mix ila apumzike kidogo
Acheze hata muvi