Diamond fanya collabo na Budagalla.

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Kuna huyu mwanamuziki Budagalla Malonja, akifanya collabo na Diamond Platinum lazima ngoma iwe kali sana, huyu jamaa yuko vizuri sana, nimeweka moja ya ngoma zake;

 
Kuna huyu mwanamuziki Budagalla Malonja, akifanya collabo na Diamond Platinum lazima ngoma iwe kali sana, huyu jamaa yuko vizuri sana, nimeweka moja ya ngoma zake;


Atakuwa ugukaya ung'wenuyo...

Bhudagala = dagaa.
 
Kuna huyu mwanamuziki Budagalla Malonja, akifanya collabo na Diamond Platinum lazima ngoma iwe kali sana, huyu jamaa yuko vizuri sana, nimeweka moja ya ngoma zake;

Afanye kwanza collabo na fid q baraka da prince na wasanii wengine wa mwanza then ndo akimbilie huko kwa mond
 
Duh! hiyo itakuwa mseto fleva ngobo
 
Budaghala ni shidaa... Kuna siku alipiga show matata pale Ushirombo na butimba yaani watu walikuwa nyomi haijapata tokea tz halafu aligonga live
 
Yuko vizuri miziki ya asili ameimudu.

Itabidi vyombo vya habari wamtangaze.

Inaonekana yuko na washabiki wengi kwenye kanda yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…