Diamond ft Neyo (Behind the Scene)

Tatizo huyu jamaa anakurupuka kufanya nyimbo na wasanii wakubwa theni anafunikwa kabisa kwenye huo wimbo kiasi kwamba unaweza kudhani sio wake mfano ni kidogo
Hahaahahaha eti anakurupuka hahaha haters are haters always
Ndio ameshasonga mbele hivyo angekua anafunikwa usingemuona akiendeleaaa
 
Utasikia...
"Huyo sio mwanamuziki,huyo ni dansa"
Hahahaaa watu hawataki tu kukabali kuwa Dai anaweza, mfano halisi ni mm sikuwa nampenda hata kidogo lkn kadri ninavyoona jitihada zake nimenyoosha mikono mwenyewe. Anajituma na anajua kutumia fursa vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…