Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
- Thread starter
-
- #21
Kuanza kuwika lini sio tatizo..Diamond kaanzaa kuwika hata Harmonize hajafika mjini Dsm. Hao kina Harmo ndo wananufaika na uwepo wa Chibu ila chibu hanufaiki anaweza survive bila msanii yoyote nyuma yake na huyo ndo Simba.
Kiba ni kama timu ya Azamu, hata Yanga na Simba wakipotea yenyewe itakwepo tu na wala haitakuwa ndio kinara katika ligi ila itaendelea kuwa number tatu tu kwa maana KMC au Singida watakuwa vinarakwahiyo Yyyyyooooooooh Yyyyeeeh Baba hayupo kwenye battle?
Mkuu don't underestimate kipaji, kujituma, ubunifu na skills alizotokanazo usafini Harmonize, watu wengi walijua alipotoka usafini atapotea lakini amemaintain kuanzia muziki na mafanikio ya kawaida, nakubaliana Harmonize yawezekana hajamfikia Mond kimusic lakini kwa namna Harmonize anavyoendesha muziki wake na maisha yake Mond atamuwaza Harmonize kuliko Kiba, Kiba ni kama Azam tu haivumi lakini ipo, Yanga na Simba hata siku moja hawawezi muhofia Azam asiye jitangaza wala kuwa na ubunifu wowote katika kuvutia mashabiki zakemleta mada elewa mshindani mkuu wa jadi wa Mondi ni King Kiba na sio Harmo.
Harmo akishuka au Kiba akishuka kimuziki Mondi hawezi kutetereka kwasababu Mondi anajua ku-maintain starndards kwenye soko la muziki.
hivyo Harmo atapita kama alivyopita Hasley ila Mondi atabakia kileleni.
Let's be honest kwa ile Interview aliyofanya Harmonize airport kulikuwa na cha kujibu pale? Wote tunajua Harmonize alio ongea ukweli tena ukweli mtupu, Diamond asingiziwe yote yale then akae kimya ? Labda Sio Diamond huyu.Harmonize sio mshindani wa Diamond kabisa wanatofautiana kwa kiasi kikubwa Sana.Harmonise ndio anaweza kumuhitaji Diamond ili ashine kimziki ndio maana diamond hajawahi kunichukulia Harmonize ni mshindani wake ndio maana hata vijembe anavyorusha harmonize kwa Diamond au ile interview aliyofanya airport hakumjibu lets say angekuwa ni Alikiba ndio kafanya vile Diamond angemjibu fasta kiufupi Ushindani ulikuwa ni wa Alikiba na diamond tu kwa maana walishabiana kwenye vitu vingi ndio ukafanya ushindani wao uwe mkubwa Wana tofauti Sana kwenye fan base, ila ukija kuangalia kea Diamond na Harmo, Diamond kamzidi Sana harmo
SawaInasikitisha sana member kakutangulia ku join humu ndani halafu yupo verified anaandika takataka kama hizi utafikiri kachomolewa ubongo.
Nzuri sana hii👍👍Nafikiri ni nature tu vitu viwili vinavyovyutana huvuma saana
Kanumba na Ray Kigosi walivuma saana kwenye bongo movie, sio kwa sababu walikuwa bora saana ila ushindani uliokwepo, Mwenyezi Mungu alipo mchukua Kanumba mbele za haki, Ray Kigosi I think ametafuta shughuli nyingine ya kufanya.
Najma Hamis Vs Hadija Kopa, kwa wale wahenga kidogo wanajua jinsi wababe hawa wa taarabu walivyokuwa kuwa juu lakini Najma alivyoenda mbele za haki Kopa tunamuona tu kwenye matamasha ya Zuchu tumesahau hata kama naye ni Mwanamuziki.
Ray C Vs Komando Jide , Ray C alipopata changamoto na kupotea kwenye music hata Lady Jay dee kwa sasa anazidiwa mpaka na mabinti wa juzi licha ya kuwa Jay dee nyimbo zake zina ujumbe, zinaishi, zinaelimisha kuliko hawa mabinti wanaoimba za kwikwi jogoo anawika.
Ally Choki na Banza Stone, hii miamba ina historia kubwa kwenye music wa dansi wa kisasa, lakini baada ya Banza stone kutangulia mbele za haki, kwa mara ya mwisho nilisikia Ally Choki amekuwa MC ametafuta.
Uwepo wa Simba Imara ndio kunafanya Yanga ifanye vizuri zaidi.
Vitu viwili vinavyovyutana sio kwa ubaya ila kwa kuendeleza kitu fulani ni jambo jema, ushindani huleta ubunifu na jitihada za kufanya vizuri.
Diamond endelea kuombea saaana Harmonize aendeleee kuwepo wepo kwenye game, Tanzania yote inajua hakuna unachodaiwa kwenye bongo flavour lakini ukweli mchungu pia kuwa nyimbo zako sio za kuishi, nyimbo za chutama mkongojo upite ni nyimbo zinazoishi siku chache, upinzani wako na Harmonize kwa sasa unakufanya uwe juu kimuziki na Harmonize bila wewe kuwa juu naye jioni tu atakuwa amesahaulika maana nyimbo za koh koh sio za kuishi.
Akina Marijani Rajabu etc ndio waliotengeneza nyimbo za kuishi.
Sio kwa ubaya kwa soko la sasa linahitaji nyimbo hizo mazoimba, Music umekuwa Biashara kubwa hivyo ni lazima uzalishe product inayotakiwa na wateja..
Ni muhimu saana wakati unaombea familia yako USISAHAU KUMUOMBEA ADUI YAKO MAANA KUNA NAMNA ANAFANYA AU ANAMCHANGO WA WEWE KUWEPO HAPO ULIPO YAWEZEKANA HATA BILA YEYE KUJUA.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Hamuwezi kukubali au kujua kwa sasa mshindani wa Mondi ni Konde, kizazi cha kina Mondi na Ali ndio kina sie tunaanza kuzeeka majukumu tele,Harmonize sio mshindani wa Diamond kabisa wanatofautiana kwa kiasi kikubwa Sana.Harmonise ndio anaweza kumuhitaji Diamond ili ashine kimziki ndio maana diamond hajawahi kunichukulia Harmonize ni mshindani wake ndio maana hata vijembe anavyorusha harmonize kwa Diamond au ile interview aliyofanya airport hakumjibu lets say angekuwa ni Alikiba ndio kafanya vile Diamond angemjibu fasta kiufupi Ushindani ulikuwa ni wa Alikiba na diamond tu kwa maana walishabiana kwenye vitu vingi ndio ukafanya ushindani wao uwe mkubwa Wana tofauti Sana kwenye fan base, ila ukija kuangalia kea Diamond na Harmo, Diamond kamzidi Sana harmo
Very soon watahama kwa Mmakonde watahamia kwa Marioo, hata Rayvanny angegombana na Diamond possibly wangeweza kuwa kwake pia. Diamond amekuwa aki-shine kabla hata ya kushindanishwa na mtu yoyote though ushindani huwa ni mzuri kwani hufanya fans wafuatilie kila kinachoendelea.Mshatoka kwa kiba saizi mmempa Harmonize? [emoji1]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Umeongea sawa kabisa MkuuVery soon watahama kwa Mmakonde watahamia kwa Marioo, hata Rayvanny angegombana na Diamond possibly wangeweza kuwa kwake pia. Diamond amekuwa aki-shine kabla hata ya kushindanishwa na mtu yoyote though ushindani huwa ni mzuri kwali hufanya fans wafuatilie kila kinachoendelea.
Scenarios nyingine zote alizozitumia kama mifano nakubaliana naye kwa 100%, palikwa pia Msondo vs Sikinde.
Ni kumkosea heshima kumfananisha Diamond na wajinga wajinga , Harmonize hata akijifia amemkuta Diamond yupo juu, yeye ndo anatakiwa aombe Diamond awe juu ili aendelee kujishikiza kama kupeNafikiri ni nature tu vitu viwili vinavyovyutana huvuma saana
Kanumba na Ray Kigosi walivuma saana kwenye bongo movie, sio kwa sababu walikuwa bora saana ila ushindani uliokwepo, Mwenyezi Mungu alipo mchukua Kanumba mbele za haki, Ray Kigosi I think ametafuta shughuli nyingine ya kufanya.
Najma Hamis Vs Hadija Kopa, kwa wale wahenga kidogo wanajua jinsi wababe hawa wa taarabu walivyokuwa kuwa juu lakini Najma alivyoenda mbele za haki Kopa tunamuona tu kwenye matamasha ya Zuchu tumesahau hata kama naye ni Mwanamuziki.
Ray C Vs Komando Jide , Ray C alipopata changamoto na kupotea kwenye music hata Lady Jay dee kwa sasa anazidiwa mpaka na mabinti wa juzi licha ya kuwa Jay dee nyimbo zake zina ujumbe, zinaishi, zinaelimisha kuliko hawa mabinti wanaoimba za kwikwi jogoo anawika.
Ally Choki na Banza Stone, hii miamba ina historia kubwa kwenye music wa dansi wa kisasa, lakini baada ya Banza stone kutangulia mbele za haki, kwa mara ya mwisho nilisikia Ally Choki amekuwa MC ametafuta.
Uwepo wa Simba Imara ndio kunafanya Yanga ifanye vizuri zaidi.
Vitu viwili vinavyovyutana sio kwa ubaya ila kwa kuendeleza kitu fulani ni jambo jema, ushindani huleta ubunifu na jitihada za kufanya vizuri.
Diamond endelea kuombea saaana Harmonize aendeleee kuwepo wepo kwenye game, Tanzania yote inajua hakuna unachodaiwa kwenye bongo flavour lakini ukweli mchungu pia kuwa nyimbo zako sio za kuishi, nyimbo za chutama mkongojo upite ni nyimbo zinazoishi siku chache, upinzani wako na Harmonize kwa sasa unakufanya uwe juu kimuziki na Harmonize bila wewe kuwa juu naye jioni tu atakuwa amesahaulika maana nyimbo za koh koh sio za kuishi.
Akina Marijani Rajabu etc ndio waliotengeneza nyimbo za kuishi.
Sio kwa ubaya kwa soko la sasa linahitaji nyimbo hizo mazoimba, Music umekuwa Biashara kubwa hivyo ni lazima uzalishe product inayotakiwa na wateja..
Ni muhimu saana wakati unaombea familia yako USISAHAU KUMUOMBEA ADUI YAKO MAANA KUNA NAMNA ANAFANYA AU ANAMCHANGO WA WEWE KUWEPO HAPO ULIPO YAWEZEKANA HATA BILA YEYE KUJUA.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
We jiulize wasanii wangapi walishindanishwa na diamond sasa hivi wakowapi Kuna Belle 9, Darassa alivyotoa wimbo wake wa Mziki, Aslay, Richmavoko, Alikiba n.k angalia hawa wasanii walipo na alipo Diamond sasa hivi ndio utajua Diamond haitaji hashindanishwe ili apae kimziki bali hao wasanii ndio wanamuhitaji Diamond wafanye vizuri kimzikiHamuwezi kukubali au kujua kwa sasa mshindani wa Mondi ni Konde, kizazi cha kina Mondi na Ali ndio kina sie tunaanza kuzeeka majukumu tele,
Wakina Konde, Zuchu, Marioo, Nandy, wapo kati baadae waje wakina Abby Chams, Yami,
Tukubali zama zinabadilika
Kwa mujibu wa Harmonize alichosema pale airport ni kwamba Diamond akikushika mkono anachukua nyota yako je wewe unaamini ya kwamba Diamond akikushika mkono career yako inakufa?Let's be honest kwa ile Interview aliyofanya Harmonize airport kulikuwa na cha kujibu pale? Wote tunajua Harmonize alio ongea ukweli tena ukweli mtupu, Diamond asingiziwe yote yale then akae kimya ? Labda Sio Diamond huyu.
Kuhusu vijembe labda hufuatilii, lakini Mond pia anampiga vijembe mara kibao. Nakubaliana na wewe kuwa Mond yuko juu lakini bado ukweli unabaki mshindani wa Mond ni Harmonize
Aisee leo JF kuna mabandiko ya maana hasaNafikiri ni nature tu vitu viwili vinavyovyutana huvuma saana
Kanumba na Ray Kigosi walivuma saana kwenye bongo movie, sio kwa sababu walikuwa bora saana ila ushindani uliokwepo, Mwenyezi Mungu alipo mchukua Kanumba mbele za haki, Ray Kigosi I think ametafuta shughuli nyingine ya kufanya.
Najma Hamis Vs Hadija Kopa, kwa wale wahenga kidogo wanajua jinsi wababe hawa wa taarabu walivyokuwa kuwa juu lakini Najma alivyoenda mbele za haki Kopa tunamuona tu kwenye matamasha ya Zuchu tumesahau hata kama naye ni Mwanamuziki.
Ray C Vs Komando Jide , Ray C alipopata changamoto na kupotea kwenye music hata Lady Jay dee kwa sasa anazidiwa mpaka na mabinti wa juzi licha ya kuwa Jay dee nyimbo zake zina ujumbe, zinaishi, zinaelimisha kuliko hawa mabinti wanaoimba za kwikwi jogoo anawika.
Ally Choki na Banza Stone, hii miamba ina historia kubwa kwenye music wa dansi wa kisasa, lakini baada ya Banza stone kutangulia mbele za haki, kwa mara ya mwisho nilisikia Ally Choki amekuwa MC ametafuta.
Uwepo wa Simba Imara ndio kunafanya Yanga ifanye vizuri zaidi.
Vitu viwili vinavyovyutana sio kwa ubaya ila kwa kuendeleza kitu fulani ni jambo jema, ushindani huleta ubunifu na jitihada za kufanya vizuri.
Diamond endelea kuombea saaana Harmonize aendeleee kuwepo wepo kwenye game, Tanzania yote inajua hakuna unachodaiwa kwenye bongo flavour lakini ukweli mchungu pia kuwa nyimbo zako sio za kuishi, nyimbo za chutama mkongojo upite ni nyimbo zinazoishi siku chache, upinzani wako na Harmonize kwa sasa unakufanya uwe juu kimuziki na Harmonize bila wewe kuwa juu naye jioni tu atakuwa amesahaulika maana nyimbo za koh koh sio za kuishi.
Akina Marijani Rajabu etc ndio waliotengeneza nyimbo za kuishi.
Sio kwa ubaya kwa soko la sasa linahitaji nyimbo hizo mazoimba, Music umekuwa Biashara kubwa hivyo ni lazima uzalishe product inayotakiwa na wateja..
Ni muhimu saana wakati unaombea familia yako USISAHAU KUMUOMBEA ADUI YAKO MAANA KUNA NAMNA ANAFANYA AU ANAMCHANGO WA WEWE KUWEPO HAPO ULIPO YAWEZEKANA HATA BILA YEYE KUJUA.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Duu kisa kaweka bango yupo single, clone haiwezi shindana na original.Endelea kujifurahisha kumfananisha Mondi na jamaa,mimi naona wanacho fanana ni jinsia basi.Kuanza kuwika lini sio tatizo..
Hata Mr Nice, Dudu baya nao walianza kuwika miaka na wakapotea...kwahiyo sio issue ya lini ameanza but ni issue ya sasa, simbenzi Diamond hata kidogo, ni mkongwe, mbunifu, anajituma, hana majivuno kama Harmonize lakini ukweli nj kwamaba uwepo wa Harmonize kwa sasa ndio unampa kufanya muziki kwa jitihada na akili zaidi kuliko wakati wowote ule
Asante mkuu kwa kuweka jina sawa..Yule shangazi wa "naona mambo iko huku taarab imo taarab imo..." aliitwa NASMA HAMIS KIDOGO na sio NAJMA kama ulivyo nena.
Bango gani?Duu kisa kaweka bango yupo single, clone haiwezi shindana na original.Endelea kujifurahisha kumfananisha Mondi na jamaa,mimi naona wanacho fanana ni jinsia basi.
Hapana mkuu naona kama unapotosha maana ya alichokisema Harmonize kuhusu kushika mkono..Lakini pia hoja kubwa ya Harmonize haikuwa mambo ya nyota bali ilikuwa ni kuonyesha Umma namna aliyoyapitia, figisu na manyanyaso wakati wa kuvunja mkataba wake..kuhusu aliyoyasema kama ni kweli au uongo anajua Harmonize na WCBKwa mujibu wa Harmonize alichosema pale airport ni kwamba Diamond akikushika mkono anachukua nyota yako je wewe unaamini ya kwamba Diamond akikushika mkono career yako inakufa?