tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
- Thread starter
-
- #41
Mkuu, kuna watu humu hawataki kuusema ukweli. Wanachangia kishabiki kuliko kuangalia business contraversal ya kuiga jina la biashara ya mtu ili hali na wewe ni mfanyabishara.Diamond ni mfanya biasha na dangote ni mfanya biashara diamond anatangaza biashara ya dangote bila malipo!
Nikulize ulisha wahi kuona Regnald Mengi anajiita Bahkresa?
au ulisha wahi kuskia EAradio wanapiga promo fiesta ya clouds?
Sidhani kama kuna mmiliki wa jina mwenye hati ya jina lake, jaribu kuingia kama fb na uandike majina yako yote mawili mnaweza kuwa mko zaidi ya 1000 sasa mwenye haki ya ilo jina ni nani apo ili akawashtaki wenzak?Vipi kama Dangote halisi akaamua kushtaki kwa jina lake kutumiwa na Diamond?
Kwa sababu kidunia, Dangote halisi ni maarufu kuliko Diamond.
kwahiyo unataka tujadili na hilo??Nacho jiuliza kwanini wasanii maarufu wa Marekani wakija kutalii Tanzania huwa hawa post chochote kwenye social media zao?
Wasanii maarufu wa Marekani walisha upanda mlima kilimanjaro na kwenda kwenye mbuga za wanyama kwanini huwa hawapost hata picha?
Brand name ni dangote cement siyo dangote.Kumbuka Dangote ni jina la kampuni iliyosajiriwa Tanzania, na brand na ni brand name ya bidhaa ya Cement inayozalishwa na kampuni hiyo ya Dangote.
Yani mnachobishina ni kituko ni sawa iwepo george cement halafu mimi nijiite george we unaona hapo kuna tatizo?Mkuu, kuna watu humu hawataki kuusema ukweli. Wanachangia kishabiki kuliko kuangalia business contraversal ya kuiga jina la biashara ya mtu ili hali na wewe ni mfanyabishara.
Kumbuka Dangote ni jina la kampuni iliyosajiriwa Tanzania, na brand na ni brand name ya bidhaa ya Cement inayozalishwa na kampuni hiyo ya Dangote.
Diamond a.k.a Simba a.k.a Dangote, hakuwaza kabisa madhara ya kujiita jina hilo (Dangote). Pengine hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku Dangote halisi atakuja Tanzania na kuwekeza. Madhara yake ni kwamba alilitangaza na analitangaza jina hilo pamoja na bidhaa zake, ambapo kwa Tanzania ni Cement, bila hata ya kulipwa chochote.
Au vipi kama Dangote halisi akaamua kushtaki kwa jina lake kutumiwa na Diamond? Kwa sababu kidunia, Dangote halisi ni maarufu kuliko Diamond.
Chonde chonde wasanii na Wanamichezo wetu, achaneni na nick names zenye Vitambulisho vya watu hai.
Sifikiri!kwahiyo unataka tujadili na hilo??
hii habari ni nyingine, na ina mashiko, kaianzishie uzi utapata majibu kutoka kwa wataalamu wa uchambuziNacho jiuliza kwanini wasanii maarufu wa Marekani wakija kutalii Tanzania huwa hawa post chochote kwenye social media zao?
Wasanii maarufu wa Marekani walisha upanda mlima kilimanjaro na kwenda kwenye mbuga za wanyama kwanini huwa hawapost hata picha?
kwa hiyo Mohamed trans awashitaki wanaojiita Mohamed?Swali jina LA kiwanda ni lipi?
Brand name ya cement hiyo ni lipi?
Kibiashara jina lina maana kubwa. Hata kama ni jina la ukoo linasajiliwa na mtu mwingine hawezi kulitumia kwa biashara inayofanana na iliyosajiliwa. Naweza kimwelewa diamond kama njia ya kujipromote lakini lazima akutane na positive na negatiive effects. Hii hoja so nyepesi kama baadhi wanavyosema. Mtu kama dangote hawezi mkumshtaki diamond kibiashara anapata free air.
Yaani Kiba ni marehemu kisanii asipotajwa Chibu
Si ndio hapo.Badala ya kukuza jina lako unajiita dangote kama sio mwanzo wa upunga ni nini
Mkuu kuwa serious kidogo dangote si jina tu kama mwanaidi au chausiku.....basi ingekua hivyo kila mtu angekua na jina lake unique duniani.Vipi kama Dangote halisi akaamua kushtaki kwa jina lake kutumiwa na Diamond?
Kwa sababu kidunia, Dangote halisi ni maarufu kuliko Diamond.
Mkuu kuwa serious kidogo dangote si jina tu kama mwanaidi au chausiku.....basi ingekua hivyo kila mtu angekua na jina lake unique duniani.
Sijui makampuni ya dangote yanaitwaje. Let's say yanaitwa dangote LLC, Chibu angeanzisha kampuni yake na kuiita dangote llc hapo sasa ndo ingekuwa kokoro.
Sijui kama kuna copyright ya jina. Ila kuna copyright ya brand name.