Diamond: Hata kama mtoto si wangu niacheni

Naihita huu ni upuuzi na ufinyo wa mawazo kumidis mtu eti mtoto c wake ww mwenyewe unajuaje kama huyo unae amini kuwa ni baba yako wakati c babayako issue ya mtoto inawauma nn na nyie zaeni kuliko kufukia viumbe vizivyo na hatia uku mkihaa kutafuta watoto wakati mwanzo mlichomoa sana diamond amini kwa kile unacho amin achana nao hao wanafiki siku mungu atawaumbua adharani amena
 
haina maana kama mtoto ana mkwanja na kiki wakati sio wa kwako....
Ila ina maana wewe kuzungumzia mtoto asiyekuhusu .................... ???? ( Nadhani jibu lako utaambatanisha na DNA ya huyo unayemuita Baba yako ukifanya hivo utakuwa mfano wa kuigwa si tu na DIAMOND bali na watz na dunia kwa ujumla )
 
Haaa haaa hawa celebs wetu inabidi waandikiwe speech kabla hawajaenda kwenye mahojiano sijaona sababu ya kuongelea pesa,nyumba na magari maana ni kama anawashambulia watu fulani ambao nao watafuta point of weakness kwake ambayo ni uyo mtoto wake maana kunangwa lazima usemwe litakalo kukera.
Busara angevunga tu maisha yakaendelea kuliko uenyeji anaoundeleza naamini anajua kua hakuna wa kulaumiwa maana pande zote zinaongea shombo ila yeye anatafuta huruma ya jamii kisa mtoto anajisahau washaita wenzao wagumba na wauza P mtaani,acha tuongeza popcorn tuwaone mwisho wao.
 
Hamjui tu mtoto hakunaga mtoto mbaya kwa baba au mama we wakati unaoba pua hilo mi naona kapua kama kamsomali haha nyie mnajuaje kama hao mnaowaita baba ni baba zenu msiusemee moyo wamama tuna siri kubwa moyoni
 
Na wawaache chibu's walale.....
Kama tiffa sio wake hao wanaowasema watafute wao IF THEY CAN
 
Mkuu McDonaldJr hapo juu nimeiweka video waweza kuingalia kwa nini aliongelea hayo mambo ya magari na viwanja na nyumba,pia swala la ugumba mwanzo wake ni mimba ya Zari, lakini pia yeye mwenyewe huyo anayeitwa mgumba alishasema kuwa aliangaika sana na DIAMOND kupata mtoto lakini ilishindikana lakini DIAMOND hajawahi kusema hiko kitu.
 
Kuwa na.magari ni mafaniko?
Mtoto mdogo kuwa maarufu ni usalama?
Ndio kuwa na gari ni mafanikio ( kiuhalisia huwezi kununua gari wakati unalia njaa au unalala kwa shida ) Kweli mtoto mdogo kuwa maarufu si salama hasa ukizingatia kuna wanaomzungumzia vibaya kila siku.
 
Interview nimeisikia jana yote,ninachosema kua na yeye karusha jiwe tena kwa upande wa pili kwa kusema kawakuta kwenye sanaa na kawazidi mafanikio,simply na upande wa pili watarusha jiwe la DNA ambalo litamkera hata kama angeamua kijibu angechagua maneno au angepiga kimya maana alichofanya amezima moto kwa petroli
 
Mahojiano mazuri ila kakosea sana kulaumi kiraji kitu roho inapenda (POMBE) kama kikwazo cha maendeleo yy afanye yake pombe haina hyo tabiaaa kaongopa
 
Watanzania wana Reasoning? Walisema Bushoke na Marlaw wamefulia kwa sababu ya CCM, and yet here is Diamond na hawa uliowataja. Hakupimaje mizani?
Vipi Mzee Yusufu na Hadija Kopa ambao ni viongozi kabisa, yaani ni sehemu ya huo uozo. Nao hawakupima?
 
Jamaa kama kapanic hivi, mi nashauri angekaa kimya wanaokusema wenyewe wangeona umewapuuza wangetulia, sasa ukijibu hivi ndo watakusema zaidi maana wameshajua unaumia wakimsema Tiffah, na hilo ndo lengo lao kuu kukunyima raha wewe
I second you!
 
Kwani wenye lengo baya nae ndio wangekosa cha kusema................. si kama wanavyomsema mtoto ambaye hajui lolote au unataka kusema yule mtoto nae kuna neno kawachokoza ....................................????????
 
Diamond asihangaike hiyo kazi wanayoiweza vijana wengi wa sasa, kumjadili mtu na kumchumbua.

We endelelea kutunisha akaunti ya mwanao ili akasome kwenye Ada ya milioni 60 kwa mwaka.
 
Wamwache aishi vile apendavyo sio kumsimanga kila kukicha oh mtoto sio wake wewe wa kwako yuko wapi?! Lea Tiffah bana achana na jungu lenye kukosa ukoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…