Kuna tofauti kubwa sana kati ya Nje ya... Kabla ya...Aliyezaliwa kabla ya wazazi kuingia kwenye ndoa....
Ngoja nikujibu kabisaa maana ya ndoa usije niuliza tena;.Ndoa ni mkataba wa kuishi kati ya mwanaume na mwanamke kwa pamoja na amani;mkataba huo unafungwa mbele ya mashahidi na sheria au taratibu zilizopo kwenye dini husika!
Nje ya.... na Kabla ya... Linapokuja suala la ndoa na mtoto huwa zinatumika interchangeably, sasa unaposema mtoto aliyezaliwa kabla ya ndoa ni sawa tu na kusema mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa.Kuna tofauti kubwa sana kati ya Nje ya... Kabla ya...
Vivyo hivyo Kati ya zinaa na uasherati.
Mke sio ndugu yako wala hana uhusiano wowote wa damuMama ni muhimu ila kuna mke pia
Mke sio ndugu angekua ndugu asingekua mke...hio brother and sisterhood inaletwa na mke na mumeMke sio ndugu yako wala hana uhusiano wowote wa damu
My first priorities
My mother
My kids
My brothers
Mu sisters
Damu nzito kuliko maji
Nje ya ndoa ipi?Nje ya.... na Kabla ya... Linapokuja suala la ndoa na mtoto huwa zinatumika interchangeably, sasa unaposema mtoto aliyezaliwa kabla ya ndoa ni sawa tu na kusema mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa.
Eti mtu kirahisi tu anatokea na kukuringanisha na mtu.
Mama MADALE is your House!!!
Na ikitokea kesho nimekufa pia NUSU ya Mali zangu zote ni zako.
“ameandika Diamond Platnumz.
“Mwanao Napambana Usiku na Mchana Kwanza kwajili yako, Walau Ujifariji kwa Magumu Ulopitia kwa kunilea kwangu, I want you to Enjoy the life as Much as You can, Maana sina cha kukulipa zaidi ya Hicho."
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mama yake Diamond.
Source: Bongo5
Tena mke/mume ni mwili mmoja na wewe, your other half. Nashangaa mtu anayemchukulia mke/mume kama mtu bakiMke sio ndugu angekua ndugu asingekua mke...hio brother and sisterhood inaletwa na mke na mume
Mke ana nafasi yake, familia ina nafasi yake
Mtu wa kuishi nae for more than half of your life chumba kimoja...ni zaidi ya ndugu...chunga kauli zako
Mke/mume sio mchezo ndo mana ni muhimu kuchaguaTena mke/mume ni mwili mmoja na wewe, your other half. Nashangaa mtu anayemchukulia mke/mume kama mtu baki
Kwa mtiririko huu ni ngumu sana uwe na ndoa ya furaha..mkeo aweza kua kakuweka no 1 ila wewe utamuangusha..eventually she gets bitter na wewe hutoifurahia piaMke sio ndugu yako wala hana uhusiano wowote wa damu
My first priorities
My mother
My kids
My brothers
Mu sisters
Damu nzito kuliko maji
nieleweshage rafikiKwa dini yake diamond hana Mtoto hata mmoja
ooooh kumbeeSawa ila kiislam mtoto wa nje ya ndoa hana urithi...huo ndo ukweli na haubadiliki..kama wampa unafanya sadaka tu kama unavyosaidia wengine!
Hehehehehehe I don't trust womenKwa mtiririko huu ni ngumu sana uwe na ndoa ya furaha..mkeo aweza kua kakuweka no 1 ila wewe utamuangusha..eventually she gets bitter na wewe hutoifurahia pia
Bas endelea kuamini wazazi na ndugu ndo utawaoaHehehehehehe I don't trust women