brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Akiongea kwenye kituo cha radio cha magic fm mziki wa hip hop bongo ni mgumu hasa kwenye maslahi ndo maana anamueshimu sana joh makini
Diamond" wakati mimi sijatoka nauza mafuta sheli nilikuwa namsikia joh makini ndo anatoka na nyimbo yake ya Hao na jamaa hadi leo hajawahi kushuka kimuziki hasa ukizingatia mziki wa hip hop apa bongo haulipi, wasanii wa hip hop wanapata shida sana kwenye maslahi ndo maana huwezi ona wajipiga hatua kubwa kama sananii wa kuimba,
Mfano wasanii wengi wa hip hop ukiona wanapiga show ya kujaza eneo kubwa ujue ni show za wasanii wengi kama fiesta.
Aliendelea " ukiacha kundi la WEUSI hakuna wasanii wengine wa hip hop anaeweza kundaa show na kujaza uwanja mwenyewe huo ndo ukweli kuna misingi hapa bongo imekosekana kama south africa ili kufanya hip hop kuwa kubwa, bongo kuna wasanii wakali sana wana mashairi makali mfano mimi huwa nawasikiliza sterio, nikki mbishi, fid q, nikki wa pili na wengine kabao .
Wasanii wengi wa bongo wa hip hop wanaivest pesa kubwa kwenye video za hip hop lakini wengi gharama zao hazirudi ndo maana mimi namueshimu sana Joh makini ukingatia anajitaidi sana kuupandisha mziki wa hip hop kuwa na hadhi kubwa na manufaa hata usinufaika yeye sana wapo wanahip hop wajao watanufaika.
Diamond" wakati mimi sijatoka nauza mafuta sheli nilikuwa namsikia joh makini ndo anatoka na nyimbo yake ya Hao na jamaa hadi leo hajawahi kushuka kimuziki hasa ukizingatia mziki wa hip hop apa bongo haulipi, wasanii wa hip hop wanapata shida sana kwenye maslahi ndo maana huwezi ona wajipiga hatua kubwa kama sananii wa kuimba,
Mfano wasanii wengi wa hip hop ukiona wanapiga show ya kujaza eneo kubwa ujue ni show za wasanii wengi kama fiesta.
Aliendelea " ukiacha kundi la WEUSI hakuna wasanii wengine wa hip hop anaeweza kundaa show na kujaza uwanja mwenyewe huo ndo ukweli kuna misingi hapa bongo imekosekana kama south africa ili kufanya hip hop kuwa kubwa, bongo kuna wasanii wakali sana wana mashairi makali mfano mimi huwa nawasikiliza sterio, nikki mbishi, fid q, nikki wa pili na wengine kabao .
Wasanii wengi wa bongo wa hip hop wanaivest pesa kubwa kwenye video za hip hop lakini wengi gharama zao hazirudi ndo maana mimi namueshimu sana Joh makini ukingatia anajitaidi sana kuupandisha mziki wa hip hop kuwa na hadhi kubwa na manufaa hata usinufaika yeye sana wapo wanahip hop wajao watanufaika.