Diamond kafa kaoza kwa Zuchu. Amwambia 'Sijawahi kupenda kama ninavyokupenda' kwenye ujumbe wa Valentine

Jinga kweli yani tushindwe kuweka sura zetu popote tutakapo kisa ndoa ya watu fulani fulani!.. ila kuna watu mna fikra za hovyo sana!
 
Diamond kafa kaoza kwa Zuchu, huu hapa ujumbe wake kwa mpenzi wake katika siku hii ya Wapendanao

 
Kama nakuona shoga ake Zuchu ulivyofurahi!
Yaani kama nakuona vile ulivyokuwa unarusha ngumi hewani kufurahia hii habari njema kwenu.
 
Leo ni midinyano day😝lazima tutumie butterfly words
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…