Mkuu Juma Lokole kwema?..Wakuu,
Kwa ujumbe tutegemee kuwa na harusi ya taifa hivi karibuni.
Wale tuliokuwa tunasema kuwa hawa wawili hawawezi kuoana ni wazi kuwa muda si mrefu tunaenda kuaibika
View attachment 3236207
Eeh,kumbe ni Juma Lokole!!!Mkuu Juma Lokole kwema?..
Eeh, kumbe ni James Delicious!!!Kwema James Delicous
Unateseka ukiwa wapi?
Coz we need herKwa nini wanaoona wivu mtoto wa kike kupendwa na diamond ni wanaume?
Kwa nini wanaoona wivu mtoto wa kike kupendwa na diamond ni wanaume?
Hadi wewe chakula?Coz we need her