Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Titty

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
571
Reaction score
912
Kupitia ukarasa wake wa instagram. Diamond kasema hakumuimba Konda na Gwajima kwa ubaya. Kajishusha haraka sana. Kamuomba asimgeuze maji Nami naungana na Diamond kumuomba mchuganji asimgeuze maji kijana wetu, huenda wimbo tulikua hatujaulewa.
 
Ili miti ichanue vizuri lazima ufanye pruning kuondoa matawi ambayo ni nuisance.

Vivyo hivyo ili jamii ichanue na kustawi kwa amani ni vyema pruning ikafanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…