Diamond kashusha ngoma mpya? Mwenye nazo atuwekee..

Jestina

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
4,828
Reaction score
1,712
Nasikia kashusha bonge la pini 'moyo wangu' pamoja na 'nalia na mengi'. Mwenye video zake aweke hapa.

Keep it up DIAMOND!
 
ahhh we hii pini matata acha haters wachonge.. dogo yupo juu!

good video... imenikumbusha ile Mr. Chocolate flavor
 
Last edited by a moderator:
Ajipange kimaisha sasa siyo wema tu itakula kwake wengi walishine sana wakaendekeza starehe na anasa sasa hivi tabu tupu so ajifunze kutokana na makosa ya wenzake
 
Ajipange kimaisha sasa siyo wema tu itakula kwake wengi walishine sana wakaendekeza starehe na anasa sasa hivi tabu tupu so ajifunze kutokana na makosa ya wenzake
Tena aanzie na Owner wa Long room night Club... Mr Nice...
 
Wema atamsaidia kuporomoka. Na akishammaliza anarukia kwa mwingine, we diamond unabaki kutoa macho tuuu,mademu wengine wanakuua af kwenye msiba wako hawafiki usifanye mchezo!!!!
 
Moyo wangu iko poa,wana jf wameiweka hapo juu,faidi mwenyewe
 
Huyu dogo kwa tabia zake hizi,muda si mrefu atachemsha.
 
Hivi Q chief nae kaishia wapi? Nafikiri na yeye alikuwa dizaini izi
 
Jamani,mwenzetu ameomba nyimbo,maisha binafsi ya Dimond yanahusu nini???kama ni maisha yake anzisheni thread ya kumshauri,

Kwa kifupi,bwana mdogo yuko straight up,anafanya maisha na muziki ki ukweli,mi siyo shabiki wake sana,lakini kama jirani yake naamini ana kitu kinachomfanya hata Wema ajibanze kwake,keep it up Bwana mdogo D....
 
imesimamaaaaa mbaaayaaa.... safi dogo
 
Kwa hiyo nyimbo kweli dogo amejitahidi sana. Naona pia imetoka safi hiyo video kwa sababu ame-shoot kwenye mazingira halisi ya kibongo....SAFI SANAAAAAA!!
 

word ..
 
Hizi tabiri kumbe zimeanza zamani sana humu ndani, mwenetu mpaka anamiliki mijengo kwa MADIBA sisi bado tuko humu tunatabiri jamaa atashuka mara atafulia.

Dunia hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…