DIAMOND kila akifanya ngoma na LAVALAVA lazima apandishie ngoma yake baada ya mda mfupi

DIAMOND kila akifanya ngoma na LAVALAVA lazima apandishie ngoma yake baada ya mda mfupi

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Ushawahi kujiuliza kama mimi kwanini kila Diamond akifanya collabo na Lavalava lazima baada ya mda mfupi atapandishia ngoma yake kali na kuipigia promo la hatari, na hiyo ngoma aliyoshirikishwa haipi promo kama akishirikiana na Mbosso ama Zuchu. Au Lavalava ni mtoto wa Kambo?
 
Ushawahi kujiuliza kama mimi kwanini kila Diamond akifanya collabo na Lavalava lazima baada ya mda mfupi atapandishia ngoma yake kali na kuipigia promo la hatari, na hiyo ngoma aliyoshirikishwa haipi promo kama akishirikiana na Mbosso ama Zuchu. Au Lavalava ni mtoto wa Kambo?
Kwa hiyo unatakaje?
 
Tuambie lavalava ni nani wako?
Kuna uzi wako wenye kichwa kinasema;
"Hivi wasafi wana mpango gani na lavalava"
Mimi ni mtetezi wa wanyonge
 
Tununueni magari, hao wote unaowaongelea wana magari, hizi fito mbili zavuka mto zinachosha.
 
Back
Top Bottom