Waambie Lumumba wampigie kura,huku kwa vijana Wa Ukawa hapati kitu.
daaa kweli diamond anawakati mgumu sana
nimepita kule tweeter nimeona anaomba apigiwe kura amebaki akiambulia matusi ooh nenda lumumba oooh pale jangwani mbona ujamwambia wakina weka mbali na tembo mara oooh mwambie mkwere
nikapita tena kule facebook mambo yako nimabaya sana kwake
mara dogo anaye kutumia asha kuaribu
mara hooo kaumbe vijana wa uvcccm
kule istagram do weacha sijuhi tumsaidiaje huyu dogo
Hata Msipompigia Wapo Watakao Mpgia Weng Tu....Kwan Ukawa Mmesikia Ni Tz Nzima?Kwan Umesikia Mashabiki Wake Ni Watz Peke Yake?Ngoja Arudi Na Tuzo Ndo Hapo Mtaelewa Kama Matusi Yenu Yanafanyakazi Au La!!Ney Wa Mitego Mbna Yupo Ukawa Na Hamna Mwanaccm Anaye Mtukana Wala Nin Na Miziki Yake Tunasikiliza Kama Kawaida.Mtu Kuwa Upande Fulani Kusiwaondolee Uzalendo Wa Kumsupport Ktk Kipaji Chake Kama Ni Kizuru Na Kama Anaitangaza Vyema Nchi Yetu.
akishindwa diamond hashindwi yeye tu ni tanzania nzima tunashindwa
akishindwa diamond hashindwi yeye tu ni tanzania nzima tunashindwa
daaa kweli diamond anawakati mgumu sana
nimepita kule tweeter nimeona anaomba apigiwe kura amebaki akiambulia matusi ooh nenda lumumba oooh pale jangwani mbona ujamwambia wakina weka mbali na tembo mara oooh mwambie mkwere
nikapita tena kule facebook mambo yako nimabaya sana kwake
mara dogo anaye kutumia asha kuaribu
mara hooo kaumbe vijana wa uvcccm
kule istagram do weacha sijuhi tumsaidiaje huyu dogo
Diamond ni raia kama wewe anahaki na maamuzi sahihi kwa mustaqbali wa maisha yake amechagua njia aipendayo ya kweli na haki kwa kua ccm imepembua mchele wake nanyi mkachukua pumba zifanye kazi kwenu
Mumechapisha mpaka mat-shirt eti munajiita malofa !!!
daaa kweli diamond anawakati mgumu sana
nimepita kule tweeter nimeona anaomba apigiwe kura amebaki akiambulia matusi ooh nenda lumumba oooh pale jangwani mbona ujamwambia wakina weka mbali na tembo mara oooh mwambie mkwere
nikapita tena kule facebook mambo yako nimabaya sana kwake
mara dogo anaye kutumia asha kuaribu
mara hooo kaumbe vijana wa uvcccm
kule istagram do weacha sijuhi tumsaidiaje huyu dogo
Hakuna kumpigia kura apigiwe na familia yake na uvccm ajifunzee