Diamond kila anapogusa moto

Hata Msipompigia Wapo Watakao Mpgia Weng Tu....Kwan Ukawa Mmesikia Ni Tz Nzima?Kwan Umesikia Mashabiki Wake Ni Watz Peke Yake?Ngoja Arudi Na Tuzo Ndo Hapo Mtaelewa Kama Matusi Yenu Yanafanyakazi Au La!!Ney Wa Mitego Mbna Yupo Ukawa Na Hamna Mwanaccm Anaye Mtukana Wala Nin Na Miziki Yake Tunasikiliza Kama Kawaida.Mtu Kuwa Upande Fulani Kusiwaondolee Uzalendo Wa Kumsupport Ktk Kipaji Chake Kama Ni Kizuru Na Kama Anaitangaza Vyema Nchi Yetu.
 

akishindwa diamond hashindwi yeye tu ni tanzania nzima tunashindwa
 

Mzalendo wa kweli hawezi kushabikia wakoloni weusi ccm
 

Mamlaka ya juu itamsaidia japo haitamsaidia kivile
Kibingwa aombe tu radhi
 
Diamond ni raia kama wewe anahaki na maamuzi sahihi kwa mustaqbali wa maisha yake amechagua njia aipendayo ya kweli na haki kwa kua ccm imepembua mchele wake nanyi mkachukua pumba zifanye kazi kwenu
 
Ndo mwisho wa yeye kupokea tuzo, nilishasema amejimaliza officially, wengine hawakunielewa. Sasa atajua tulimaanisha nini!! Game over!!
 
Diamond ni raia kama wewe anahaki na maamuzi sahihi kwa mustaqbali wa maisha yake amechagua njia aipendayo ya kweli na haki kwa kua ccm imepembua mchele wake nanyi mkachukua pumba zifanye kazi kwenu

Ni sahihi lakini Kumbuka yeye ni msanii hivyo kuna wakati ajiongeze ili Kulinda kazi zake...Kumbuka nini kilitokea nakaaya
 

Kwahiyo dada tarimo tukusaidiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…