Huyo anaitwa GENIUS DIAMOND BABA LAO,HAKUNA NA HATATOKEA MSANII ZAIDI YAKE TANZANIA TANGIA KO UMUACHE MAWINGU,HARMONIZE NA AJUZAKIBA WAMESHINDWA KO TUMUACHE ALE PESA.Huyu kijana anatungiwa au anaimba mwenyewe maana kila siku anaaachia tu Hit songs, mimi si haters bali Tanzania haijawahi pata mtu kama huyu jamaa
siku akitangulia itakuwa ni yale ya kanumba miaka 7 sasa Bongo movie ipo shimoni....cdle
Huyu kijana anatungiwa au anaimba mwenyewe maana kila siku anaaachia tu Hit songs, mimi si haters bali Tanzania haijawahi pata mtu kama huyu jamaa
siku akitangulia itakuwa ni yale ya kanumba miaka 7 sasa Bongo movie ipo shimoni....cdle
Hata ya sasa ni ovyo.. diamond nayempenda ni wa 2016 kurudi nyuma. Nimebaki nashabikia hustle zake tuWewe sio HaterS
Anatungiwa, na studio ni ya kwake, kwa hiyo anatoa nyimbo anavyotaka, ikiwemo nyimbo za ajabu ajabu mfano baba lao
Kabisa , sasa hivi anapiga mziki trend na biashara zaidiHata ya sasa ni ovyo.. diamond nayempenda ni wa 2016 kurudi nyuma. Nimebaki nashabikia hustle zake tu
anatungiwa na harmonizeHuyu kijana anatungiwa au anaimba mwenyewe maana kila siku anaaachia tu Hit songs, mimi si haters bali Tanzania haijawahi pata mtu kama huyu jamaa
siku akitangulia itakuwa ni yale ya kanumba miaka 7 sasa Bongo movie ipo shimoni....cdle
.Kabisa , sasa hivi anapiga mziki trend na biashara zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani si akanunue nyingineAmemuibia penseli Ali Kiba ndio hiyo anayoandikia mistari kila siku. Diamond mtu mbaya sana.
Wewe sio HaterS
Anatungiwa, na studio ni ya kwake, kwa hiyo anatoa nyimbo anavyotaka, ikiwemo nyimbo za ajabu ajabu mfano baba lao
Anaiba kwa King MusicHuyu kijana anatungiwa au anaimba mwenyewe maana kila siku anaaachia tu Hit songs, mimi si haters bali Tanzania haijawahi pata mtu kama huyu jamaa
siku akitangulia itakuwa ni yale ya kanumba miaka 7 sasa Bongo movie ipo shimoni....cdle
Penseli ya uganga mpenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani si akanunue nyingine
Huyo Kiba pia ni wa-Kigoma mwenzako achilia mbali Mtanzania mwenzako.Huyo anaitwa GENIUS DIAMOND BABA LAO,HAKUNA NA HATATOKEA MSANII ZAIDI YAKE TANZANIA TANGIA KO UMUACHE MAWINGU,HARMONIZE NA AJUZAKIBA WAMESHINDWA KO TUMUACHE ALE PESA.