Hiyo picha niwewe mwenyewe au [emoji85]cku iz waisilam wame legea sana cio wale wa takibirrr
Kama mashekhe wenyewe ni hawa akina Alhad Mussa Salum, wataupokea tu hamna shidaJana niliskia kua Msanii Diamond amepenga kujenga msikiti mkubwa tu hapo tandale na kwamba amenunua uwanja mkubwa sana hapo tandale na kama haitoshi wakasema kua amepanga kuigeuza Tandale kua saudia..
View attachment 691698
Sasa nikawa najiuliza kama story hizo ni za kweli, masheikh wataukubali huo msikiti hali ya kua hapo nyuma kidogo kuna sheikh mkubwa tu aliwah kusema "Diamond sio muislamu kwakua anavaa misalaba na nyimbo zake ni za kishetani"
View attachment 691700
sasa leo anakwenda kujenga msikiti mkubwa sana pale tandale je wataupokea? Na kama wakiupokea watabaki na msimamo ule ule wa kwamba Diamond si Muislamu??
Yapo yanajikongojaAiseee.. Kumbe haya magazeti ya udaku bado yapo! Nina miaka mingi sijayasoma..
ni yeyeHiyo picha niwewe mwenyewe au [emoji85]
Alikuhongaaaa au!!!Alafu anazihonga
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
BAKWATA ni Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, sio dhehebu.Nieleweshe dhehebu?kwan na upande wenu kuna madhehebu?
Mimi sijawahi kusikia, labda unitajie hata mmoja tu kama uthibitisho.Nasikia keshajenga mingi iringa, Morogoro and elsewhere Leo ndo unaamka?
BAKWATA ni Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, sio dhehebu.
Madhehebu mojawapo ni Shia, Ibadhi, Aswar sunni,......
Mimi sijawahi kusikia, labda unitajie hata mmoja tu kama uthibitisho.
Kanisa lizinduliwe na msikiti nao uzinduliwe? this is too much.Bakwata watapokea tu hawana shida.ila ingekuwa dhehebu lingine angetupiwa mskiti wake km aende nao kwao akawasalishe WCB.ila rafk yake mange ataenda kuuzindua kabisa
Kweli kabisa, japo kwa muumili wa kweli akifanya jambo hawezi kujitangaza kwa sababu anajua malipo atalipwa Muumba wake, ila ukijitangaza umefanya kwa ria(yaani kwa kujionesha) ambapo malipo yake yanakuwa ni batili.Mmh mond ajenge na asitoe picha maajabu nahisi hajajenga au kaukarabati tu kisha anakuja kujitapa kajenga
weka picha basi maana wengine tomasoNasikia keshajenga mingi iringa, Morogoro and elsewhere Leo ndo unaamka?
Acha uongo Moro na Iringa iko maeneo gani hiyo misikiti.