AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
2004?Mbona na wewe sikuelewi?
Sawa2004?
DuhNdege ataisikia kwenye mabomba na ww uliepostigi hii pumba nenda mkackilize nae iyo jet kwenye bomba.
Ndege ataisikia kwenye mabomba na ww uliepostigi hii pumba nenda mkackilize nae iyo jet kwenye bomba.
angesema king kiba angeamini hahahaAngesema afande sele ungeamini,
angesema king kiba angeamini hahaha
Kununua ndege sio issue,
Issue kuihudumia kumbuka hii haipaki
nyumbani kwako inapaki airport kuna charges balaa
na huduma zingine,kuruka kutua, rubani wahudumu
lazima uwe na mawe ya kutosha ambayo yanaota
kama uyoga.
mbn hii ya 2014 ?!! au mmeamua kufukua makaburi
Mkuu hana vibali vya kutua huko hata kama ana uwanja,Madale eneo kubwa ataipaki kule
Mkuu hana vibali vya kutua huko hata kama ana uwanja,
hapa Tz,Dar,ndege zote zinatua Julius Kambarage Nyerere Internatinal Airport
ukitua nje ya hapo ni kosa.
Ndege ataisikia kwenye mabomba na ww uliepostigi hii pumba nenda mkackilize nae iyo jet kwenye bomba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unasema???Hii Jet nayo itakuwa imekamatwa Canada
Wenye madeni yao kwa Taifa wameinywa Private Jet ya Mondi.......huu ni uonezi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unasema???