Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Ndege ataisikia kwenye mabomba na ww uliepostigi hii pumba nenda mkackilize nae iyo jet kwenye bomba.
 
Ndege anaweza kuinunua ila kuihudumia kutamfilisi hasa malipo ya wahudum na matengenezo gharama za ulinzi na mambo mengine mengi nadhani ajipange kwenye radio na tv zaidi maana zitampa faida kuliko ndge ambayo itamchukilia hela sana
 
Kununua ndege sio issue,
Issue kuihudumia kumbuka hii haipaki
nyumbani kwako inapaki airport kuna charges balaa
na huduma zingine,kuruka kutua, rubani wahudumu
lazima uwe na mawe ya kutosha ambayo yanaota
kama uyoga.
 
Kununua ndege sio issue,
Issue kuihudumia kumbuka hii haipaki
nyumbani kwako inapaki airport kuna charges balaa
na huduma zingine,kuruka kutua, rubani wahudumu
lazima uwe na mawe ya kutosha ambayo yanaota
kama uyoga.

Madale eneo kubwa ataipaki kule
 
Mkuu hana vibali vya kutua huko hata kama ana uwanja,
hapa Tz,Dar,ndege zote zinatua Julius Kambarage Nyerere Internatinal Airport
ukitua nje ya hapo ni kosa.

Issue sip kutua Madale
Itatua DIA kisha ataipakia kwenye truck hadi Madale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…