Ndo nlivyosikia...sina uhakika...ila na talaka alipewa kisa BBA....
Yeye kati ya ndoa na Big Brother kachagua Big Brother....
Tuseme tu ukweli kila tuzo ni anawania Domo ina maana Ally k hawamjuii???? Hiyo domo kuitwa itwa hata kama hapati tuzo ni ushindi unajua???
Yaan sijui big brother itampa nini na kiinglishi cha the the kama cha watu fulani humu cha kutisha watu heheee
Heheheeee...chezea kiinglish cha Ras Simba wewe....Ze big blaza ze kunipaz ze mshikooo....hahahaaaaa...
Shoga mwenzio nshachukua fomu kwa ras simba kama unataka nikuchukulie.
Alikiba kadumaa kimziki kama jaguar wa Kenya,jaguar ye Lila wimbo mpya anaotoa beats ile ile na style ile ileTuseme tu ukweli kila tuzo ni anawania Domo ina maana Ally k hawamjuii???? Hiyo domo kuitwa itwa hata kama hapati tuzo ni ushindi unajua???
Mi nataka nijifunze kichina kama anafundisha nichukulie maana kila mtu inglishi inglishi mi nataka kichaina
Alikiba kadumaa kimziki kama jaguar wa Kenya,jaguar ye Lila wimbo mpya anaotoa beats ile ile na style ile ile
Tuseme tu ukweli kila tuzo ni anawania Domo ina maana Ally k hawamjuii???? Hiyo domo kuitwa itwa hata kama hapati tuzo ni ushindi unajua???
kiba alituangusha pale alipokaa kimya kwa muda mrefu lakn naamin akikaza hyo domo atabaki historia. ila kuna siku alimkubali kiba akasema ukitaka nyimbo zenye mashairi matamu nenda kwa kiba au ben pol ila ukitaka za biashara yeye yupo fiti
Pale ni kiinglish tuu..tena ndani ya wiki mbili usipokijua anakurudishia ada yako....
Sijui nijifelishee....hela tamu ujuee....
Sasa unaimba muziki ili usikilizwe nyumbani au unaimba mziki kutafuta pesa, Ally K anajua kuimba sana na ana sauti nzuri ila nae tunataka amkimbize mchakamchaka Daimond
Kiba yupo sana huyo Domo sidhani kama ana miaka 2 mbele ya kuendelea kuwa kwe peak IPO SIKU TEAMDOMO MTAFICHA SURA ZENU MBELE ZA WATU acha leo mpige kelele
Go on diamond kila laheri haters chupi zitawabana na watazivua tu...
Toka miaka ya nyuma mnasema Domo hana miaka miwili mbele kajamaa hakoo kanasongaaa teh the
Kupata Mafanikio lazima ushindani uwepo Kiba abadilike kabisa nae atambulikee basii
Alikiba kadumaa kimziki kama jaguar wa Kenya,jaguar ye Lila wimbo mpya anaotoa beats ile ile na style ile ile
kiba alituangusha pale alipokaa kimya kwa muda mrefu lakn naamin akikaza hyo domo atabaki historia. ila kuna siku alimkubali kiba akasema ukitaka nyimbo zenye mashairi matamu nenda kwa kiba au ben pol ila ukitaka za biashara yeye yupo fiti
Chupi zitawabana wapi siku hizi hata zinavaliwa mlegezo