Diamond kutumbuiza big brother Africa

all the best diamond nenda ukaache historia. ni zamu ya watz sasa kutambulika na mziki wetu sio kuchemsha kote jaman mipira cjui Olympics hata music jaman hapana.
diamond tutoe watz kimasomaso kaka.
 
Toka miaka ya nyuma mnasema Domo hana miaka miwili mbele kajamaa hakoo kanasongaaa teh the
Kupata Mafanikio lazima ushindani uwepo Kiba abadilike kabisa nae atambulikee basii

hata Mr Nice alikuwa hivi
 
Aisee Team Kiba mtafwariki mwaka huu,Domo anawafanya hampumui na mwanadaresalama yenu

hahahahahaa waambie, hadi nawaonea huruma yani, wamejitahidi kweli na promo, lakini ndio hivyo mwana kapatia ajali msata, uwezekano wa kufika jijini haupo. kwanini mirembe isiwauhuuuu!!!
 
hahahahahaa waambie, hadi nawaonea huruma yani, wamejitahidi kweli na promo, lakini ndio hivyo mwana kapatia ajali msata, uwezekano wa kufika jijini haupo. kwanini mirembe isiwauhuuuu!!!

Ni sheeeeeeederiiiiiiiiiiiiiii Daimond yupo juuuuuuu tu mpaka Ally k abadilike
 
Acha ulevi wewe ...mwaka jana kuna mtanzania alitumbuiza ..sema atakuwa msanii wa kwanza mwenye bongeee la domoo kutoka tanzania kutumbuiza
Alishawahi uyo uyo Diamond kutumbuiza BBA enzi izo za Mawazo inatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…