Diamond kutumbuiza tamasha la treble la wananchi

Diamond kutumbuiza tamasha la treble la wananchi

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wananchi hawapoi.....hawaboi[emoji23][emoji23]

Yanga SC baada ya kutetea ubingwa wao wa Azam Sports Federation na kuwa wametetea mataji yao yote matatu.

Leo Saa 5:00 Wananchi watafanya Treble Parade itakayohitimishwa na perfomance ya Diamond Platinumz.

Shughuli nzima itakuwa mbashara kupitia #AzamSports3HD.

#YangaSC #Azamtvsport

NB: Makolo mnakaribishwa....kiingilio ni Jezi ya Yanga[emoji23][emoji23]
1686644495526.jpg
 
Mshaanza kuja kutupoteza kwenye lengo la kuwaza mikataba feki hii viongozi mnanini lakini
 
Kila afanyalo UTO simba wameshafanya Kitambo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Kukosa kazi ni kazi sana. Mda wawatu kupiga kazi watu wanaenda kumshangaa diamond? No wonder utopolo walikuwa kutwa wanawapokea washindani wa simba eapoti. Yote hii ni kutokuwa na shughuli za kuwaingizia kipato.
 
Kukosa kazi ni kazi sana. Mda wawatu kupiga kazi watu wanaenda kumshangaa diamond? No wonder utopolo walikuwa kutwa wanawapokea washindani wa simba eapoti. Yote hii ni kutokuwa na shughuli za kuwaingizia kipato.
Shtuka ww, sio kila kazi inahitaji uwepo muda wote
 
Back
Top Bottom