Hahahahaha na ninauza yngu buku kumiJustin Bieber alikuwa na 78+million followers instagram na aliifuta account yake bila mbwembwe mi nina followers 2million ila sasa mtanikoma shenzi nyie, black is not color
wanaichambua kama karangaalafu wanaonunua wanaifanyia nn
Hao followers hawata acha kumfollow akiuza?Wanaitumia kutangaza biashara coz INA followers wengi
Bilion 5 na alikuwa na follows 800kChege ameuza akaunti yake? Sh ngapi?
Hackers pia wanafanya ku-hack account zenye followers wengi then wanaziuza kwa mtu mwingine hususani kibiasharaKama Alivyofanya CHEGE.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]Bilion 5 na alikuwa na follows 800k