Diamond kuuza Instagram Account yake kwa shilingi bilioni NNE za Tanzania

SHILAWADU maswali yao yapo safi sana, watakulazimisha mpaka ujibu ndo maana jana Diamond maswali mengi alikuwa anacheka tu
 
Justin Bieber alikuwa na 78+million followers instagram na aliifuta account yake bila mbwembwe mi nina followers 2million ila sasa mtanikoma shenzi nyie, black is not color
Racism afu nawe niliblack jikubali tu ndugu
 
Huyu tumbiri naona anajisahau na kulewa misifa. Amuulize mtangulizi wake Mr. Nice. Kuna siku tena sio mbali hao mashabiki wake watamtupa kama tenga la nyanya mbovu.
Unaloongea ni kweli lakini tofaut ya wtu hawa wawili mr nice hakuwekeza kaishia kua omba omba dogo anawekeza itakuja kumboost kivyake kipind kafulia
 
Huyu tumbiri naona anajisahau na kulewa misifa. Amuulize mtangulizi wake Mr. Nice. Kuna siku tena sio mbali hao mashabiki wake watamtupa kama tenga la nyanya mbovu.
NENDA ZAKO NDOMICHAWI NYIE MMEKAA KUWAZA MTU APOTEE NYAU KABISA
 
Justin Bieber alikuwa na 78+million followers instagram na aliifuta account yake bila mbwembwe mi nina followers 2million ila sasa mtanikoma shenzi nyie, black is not color
We rangi gan bro..
 
Justin Bieber alikuwa na 78+million followers instagram na aliifuta account yake bila mbwembwe mi nina followers 2million ila sasa mtanikoma shenzi nyie, black is not color
"MUTABARUKA"
 
Justin Bieber alikuwa na 78+million followers instagram na aliifuta account yake bila mbwembwe mi nina followers 2million ila sasa mtanikoma shenzi nyie, black is not color
Wew kila kitu anachokifanya mdhungu basi kwako kila raia afanye hivyo hivyo, akinya barabarani inabidi wengine nao wanye barabrani, akikojoa hivyo hivyo. I repeat again SHENZI TAIPU BULAKI KARA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…