Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Karanga zinalika sana mkuu,,sema anaongeza wigo wa biashara tu..Mwitiko wa kwenye karanga haujawa kama alivyopiga hesabu. Kiashiria ni kuanza kutoa promo kua ukinunua karanga utakuta zawadi ya gari, bajaji n.k.
Sijioni nikinunua karanga ili nipate zawadi ya gari.
Tv nahisi kigingi ni clouds na E tv akiwa na content nzuri anatoboa
Naishi mtaa ambao vitu vya ubuge ubuge vikipendwa traces will be everywhere.Karanga zinalika sana mkuu,,sema anaongeza wigo wa biashara tu..
Karanga zinalika buana machinga kibao wanauza mtaaniNaishi mtaa ambao vitu vya ubuge ubuge vikipendwa traces will be everywhere.
Sisi tuko mikoani huku mkuu,,karanga kwenye maduka ya jumla na reja zinanunuliwa sana yani..labda angesema kingine..Karanga zinalika buana machinga kibao wanauza mtaani
Machinga kibao wanauza wateja wangapi wananunua?Karanga zinalika buana machinga kibao wanauza mtaani
[emoji23][emoji23]kanali mstaafu, Afande wangu maombi hata kwenye biashara?!
Labda kawekeza kwenye Umbea!Nasikia kuna watu wanapiga hela kwa kazi hiyo.Cc:Shilawadu.Mkuu wewe umewekeza kwenye nini?
TUnatangaza wangapi kivipi?! Ina maana unahoji individuals au biashara?MSAGA SUMU, wangapi tunatangaza?
Suala la % halina uhusiano kama itamlipa au hapana! Akiwa na share kiduchu atapata/atakula hasara kiduchu na akiwa na hisa nyingi atapata/atakula hasara nyingi... simple!Fela, Tale, Sallam na Mondi hapo hatujui shares zipo vp? Kwahiyo hatujui kama itamlipa au lah labda tujue Ana hisa % ngapi?
Naunga mkonyo hojaHii biashara ya tv nahisi huwa haina hasara, sijawahi ona mtu kachemka.
Labda hivi vitivii vya chumba kimoja vinavyorusha youtube naona kama tamati yao inatabirika
Amewekeza kwenye umbeaMkuu wewe umewekeza kwenye nini?
Kama Majizzo ameweza itashimdikana vp Diamond na Hamisa?Suala la % halina uhusiano kama itamlipa au hapana! Akiwa na share kiduchu atapata/atakula hasara kiduchu na akiwa na hisa nyingi atapata/atakula hasara nyingi... simple!
Sina hakika kama nimekuelewa inclusion ya Hamisa kwenye hoja yako!Kama Majizzo ameweza itashimdikana vp Diamond na Hamisa?
Hamisa ni mmoja wa Share holder wa hiyo projectSina hakika kama nimekuelewa inclusion ya Hamisa kwenye hoja yako!
Hahaa! Hamisa huyu huyu! Basi hongera zake...Hamisa ni mmoja wa Share holder wa hiyo project